Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bomba la gesi litokalo Mtwara limewekewa ulinzi mkali unaotumia camera za CCTV. Kila baada ya km 50 kuna security cabin na watu wanaofanya kazi kwa saa 24.
CCTV huku hospitali hazina dawa!
Hapo kuna kampuni za wakubwa zimeshapewa tender za kufunga cctv na kampuni ya ulinzi!! Sasa kaangalie gharama zake ndo utalia! Ni zaidi ya gharama ya kuhudumia kikosi cha jeshi lugalo!!
Ndugu uliza uambiwe maana. Mabomba ya gesi na mafuta duniani pote yanalindwa tena kwa nchi zilizo makini wanatumia Teknolojia ya hali ya juu kama SCADA! Hiyo ni Vital Installations.Tuwaulize watawala wanaogopa nini? Wanajua kuwa watu wa Mtwara hawajaridhika na kinachoendelea. Wanaogopa risasi tu za polisi. Kuna siku wataziona kama maji!
Ndugu uliza uambiwe maana. Mabomba ya gesi na mafuta duniani pote yanalindwa tena kwa nchi zilizo makini wanatumia Teknolojia ya hali ya juu kama SCADA! Hiyo ni Vital Installations.
sio bamba bomba siku nyingine jifunze kiandika
Sio "kiandika" ni kuandika
Unatafuta ligi ya majibizano. Kwa msaada hebu google upate majibu au waulize watalaamu wa sekta ya mafuta na gesi (TPDC) wakupe majibu maana naona huitaji kuelewa.Mabomba ya mafuta ndio ya maana kuliko installations zingine Tanzania, mbona hazina ulinzi mkali wa namna hiyo! Mbona TAZAM haina huo ulinzi mpaka leo? Naomba jibu
Unatafuta ligi ya majibizano. Kwa msaada hebu google upate majibu au waulize watalaamu wa sekta ya mafuta na gesi (TPDC) wakupe majibu maana naona huitaji kuelewa.
Ongezea Kerosini mafuta ya Taaaa.....nyambafu.....Bogus statescoconut head