FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Nasikia kuna huu mradi wa bomba la mafuta from Dar to Mwanza, umefikia wapi? Na nini hatma ya wamiliki wa fuel tankers? Pia bei yake kwa Mwanza itashuka kwa lita?
Nadhani watalisogeza hadi Uganda ili kulifanya lilipe kwa haraka zaidi, ila napendekeza lile la mafuta lichimbiwe kwenye mtaro mmoja sawa na hili la gesi ili kupunguza gharama
TPDC yaanza mchakato ujenzi bomba la gesi Dar - Uganda - JamiiForums
Nadhani watalisogeza hadi Uganda ili kulifanya lilipe kwa haraka zaidi, ila napendekeza lile la mafuta lichimbiwe kwenye mtaro mmoja sawa na hili la gesi ili kupunguza gharama
TPDC yaanza mchakato ujenzi bomba la gesi Dar - Uganda - JamiiForums