Habari wakuu..,
Samahani kwa usumbufu, najua mtakuwa mmelala saizi. Bila kupoteza muda wacha nieleze shida yangu.
Natafuta bomba za body ya Canter urefu wa futi 8 na upana wa futi 5.8.
Kwa yeyote mwenye nayo naomba tuwasiliane, its very urgently yaani inahitajika soon as possible.
Location ni Dar es salaam kimara mwisho. Contacts 0718163132.
Ahsanteni kwa kunisikiliza