lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Habari zenu wadau.
Nauliza zile bomba zinazowekwa katika nyumba sehemu za ngazi au kingo kwenye balcony na sehemu kama hizo zinaizwa wapi na bei yake ikoje?
Bomba hizi hujengewa kwa ajili ya kuzuia mtu asiweze kubambikia upende mwingine mfano kwenye nyumba za ghorofa hizi huwekwa balcony na pia hujengewa kufuata ngazi.
Nauliza hizi za silva.
Naomba kujua bei ikoje kwa mita futi au vipi na ntazipata wapi.
Masada tafadhari.
Nauliza zile bomba zinazowekwa katika nyumba sehemu za ngazi au kingo kwenye balcony na sehemu kama hizo zinaizwa wapi na bei yake ikoje?
Bomba hizi hujengewa kwa ajili ya kuzuia mtu asiweze kubambikia upende mwingine mfano kwenye nyumba za ghorofa hizi huwekwa balcony na pia hujengewa kufuata ngazi.
Nauliza hizi za silva.
Naomba kujua bei ikoje kwa mita futi au vipi na ntazipata wapi.
Masada tafadhari.