Bombardier yaranda randa anga ya Dar es Salaam

Hurayra

Member
Joined
Apr 9, 2024
Posts
15
Reaction score
19
Kuna Ndege ya ATCL Bombardier inazunguka sana kwenye anga ya Dar bila kutua, nimejaribu kuhesahabu kama mizunguko mitatu au minne.

Je inashida yoyote au kuna iliyoomba emergency landing?
Wajuvi wa hili tafadhali
 
Kuna Ndege ya ATCL Bombardier inazunguka sana kwenye anga ya Dar bila kutua, nimejaribu kuhesahabu kama mizunguko mitatu au minne.

Je inashida yoyote au kuna iliyoomba emergency landing?
Wajuvi wa hili tafadhali

Itakuwa tuna test mitambo na hasa kwenye ku simulate kuangusha na uokozi ..

Taabu huwa twaziangusha kikweli kweli kupima utayari wa kuwatoa majeruhi ..
 
Kuna Ndege ya ATCL Bombardier inazunguka sana kwenye anga ya Dar bila kutua, nimejaribu kuhesahabu kama mizunguko mitatu au minne.

Je inashida yoyote au kuna iliyoomba emergency landing?
Wajuvi wa hili tafadhali
inafanya mazoezi!!{jogging]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…