serikali gani ya kuandalia wananchi makazi?
Viwanja vya kigamboni tu wanachukua wenyewe, tena bungeni wanajibu kwa kiburi kuwa vigogo wamepewa kwa sababu wana uwezo wa kujenga......
Serikali hii ikiandaa mradi ujue ni wa wakubwa, walala hoi mtaishia kula kwa macho......