Nadhani Watanzania we are learning the hard way. Inawezekana ndiyo njia pekee.....Si waombei haya, lakini panapokosekana mshikamano katika mambo makubwa ndiyo yanayotokea. Tunahitaji kujiuliza kama hakuna njia za kistaarabu zaidi? Kama vyombo vyote husika vilitimiza majukumu yao? Kama hakuna mipangilio katika mambo yote ndiyo inavyotokea. Wenzetu mlioko nje ni vema mkatupa pia uzoefu kwa wenzetu haya mambo yanafanyikaje mbona hatusikii vya hivi? Ni ngozi nyeusi ina matatizo zaidi au nini? Lakini pia kwanini kuna Estate developers kwa wenzetu? kwanini kuna credit facilities zikiwemo za nyumba kwa wenzetu? Hivi ukilipwa 12 huna ardhi utajenga wapi? labda tu apply hadithi ya Abunuwas....Nadhani Wanaharakati Tunahitaji uchambuzi wa kina. Haiwezekani kila kona ya nchi yatokee haya na daima wananchi wawe wakosaji tu..... Tunajitaji kuchambua na kutibu once for all. Wasio husika hasa wanawake na watoto, na wapangaji wasio hata na taarifa ya kinachoendelea wanaumia sana.
Nadhani Watanzania we are learning the hard way. Inawezekana ndiyo njia pekee.....Si waombei haya, lakini panapokosekana mshikamano katika mambo makubwa ndiyo yanayotokea. Tunahitaji kujiuliza kama hakuna njia za kistaarabu zaidi? Kama vyombo vyote husika vilitimiza majukumu yao? Kama hakuna mipangilio katika mambo yote ndiyo inavyotokea. Wenzetu mlioko nje ni vema mkatupa pia uzoefu kwa wenzetu haya mambo yanafanyikaje mbona hatusikii vya hivi? Ni ngozi nyeusi ina matatizo zaidi au nini? Lakini pia kwanini kuna Estate developers kwa wenzetu? kwanini kuna credit facilities zikiwemo za nyumba kwa wenzetu? Hivi ukilipwa 12 huna ardhi utajenga wapi? labda tu apply hadithi ya Abunuwas....Nadhani Wanaharakati Tunahitaji uchambuzi wa kina. Haiwezekani kila kona ya nchi yatokee haya na daima wananchi wawe wakosaji tu..... Tunajitaji kuchambua na kutibu once for all. Wasio husika hasa wanawake na watoto, na wapangaji wasio hata na taarifa ya kinachoendelea wanaumia sana.
..dr,
..you don't sound like w.slaa!
..lakini, kama unavyowajua watanzania, wamebobea katika uvunjaji wa taratibu,kanuni na sheria. ziwazo zozote zile!
..umewaona wale waliojenga mabondeni, tena si mbali na hapo.
..umeona jinsi waswahili wanavyojenga hovyo hata kushindwa kuacha nafasi ya kupita mkokoteni.
..hata hivyo kosa liko pia kwa viongozi wetu, hasa pale wanapowaachia watu wavunje taratibu,kanuni na sheria, kwa maslahi yao ya kisiasa.
..na mengine mengi.
Dr Slaa
Mimi naamini misingi ya yote hayo ni kufanyia marekebisho au kuitunga upya kabisa sheria yetu ya arthi. Tumeona matatizo mengi yanarekeishika iwapo kunakuwa na malengo ya wazi ya namna ya kuyatatua. Suala hili la majengo holela ni suala la kimfumo wa sheria zetu zilivyo za kubahatisha kutemea ni nani amehongwa shs ngani au mjomba wake ana nafasi gani serikali.
Dar si Lamu
Naona maneno yako bado yanalenga katika kumlaumu Mwananchi. Dr Slaa kwa jinsi nilivyomsoma anatafuta mfumo mzuri zaidi wa kutatua haya matatizo. Mfano mzuri ni jinsi tatizo la ugonjwa wa malaria linavyoshughulikiwa; badala ya kuwalaumu wananchi kwa kutokufuata masharti bora ya kiafya...tumeangalia zaidi kwenye suala la elimu elimu na elimu na kwa kuongezea ugawaji wa nyandarua vyenye dawa bure...Zanzibar wamefakiwa sana kupiga vita malaria. Je tunaweza kufanya the same kwenye matatizo haya ya arthi? msukumo wa kitaifa utaolenga kuwaelimisha watanzania.
..the buck stops with mwananchi, and that's a fact.
..viongozi wanachaguliwa na nani?
..hao wananchi wangezikataa hizo vyandarua, kungetokea nini?
..nani kati yao asiyejua kutapisha choo wakati wa mvua ni kuamsha kipindupindu?
Bomoa bomoa inaendana na sheria za ardhi na mipango miji, kwa Tz sheria za mipango miji na ardhi nyingi tumerithi toka kwa waingereza ambapo iwapo nyumba imejengwa pasipo kuwa na kibali notisi hutolewa kati ya siku tatu hadi ishirini na moja ikimtaka mjenzi aeleze kwa nini amejenga nyumba hiyo bila ruhusa na kwa nini nyumba hiyo isivunjwe.Nadhani Watanzania we are learning the hard way. Inawezekana ndiyo njia pekee.....Si waombei haya, lakini panapokosekana mshikamano katika mambo makubwa ndiyo yanayotokea. Tunahitaji kujiuliza kama hakuna njia za kistaarabu zaidi? Kama vyombo vyote husika vilitimiza majukumu yao? Kama hakuna mipangilio katika mambo yote ndiyo inavyotokea. Wenzetu mlioko nje ni vema mkatupa pia uzoefu kwa wenzetu haya mambo yanafanyikaje mbona hatusikii vya hivi? Ni ngozi nyeusi ina matatizo zaidi au nini? Lakini pia kwanini kuna Estate developers kwa wenzetu?
DAR Si Lamu, jiweke katika soli yao.Umeomba ploti miaka nenda rudi unazungushwa tu, hatimaye baada ya muda mrefu, inapatikana unatakiwa ulipe shs 500,000 lakini mshahara wake wake wa mwezi kima cha chini kwa leo 100,000 hata usafiri tu wa Daladala hautoshi, tena bado hakuna miundo mbinu ya aina yeyote. Unafanya nini? Nimezungumza nao sana, nimefanya utafiti wa kina. Ninakosa majibu ndiyo maana wanajenga Bondeni, wanakubali kusombwa na maji, lakini angalau mtu akae na mke wake na watoto wake. Ni shida. Nawaza kwa mfano tungekuwa na mpango mkakati kama wenzetu, kungelikuwa na Estate Developers, na financial facility accessible kwa mwananchi wa kawaida payable over 50 to 60 years. Ninapenda kutafuta solution ya kudumu watu wetu. Tusipende kulaumu hakuna asiyependa kuishi kwa raha na familia yake. Shida inawasukuma hapo walipo. Kazi ya Serikali ni kutengeneza mazingira bora kwa kila mtu, as a duty si hisani. Ndiyo maana ninahoji kukimbilia bomoa bomoa kabla hatuja 'exhaust avenues zingine za kusaidia binadamu. Anayevunja Sheria kwa makusudi ashughulikiwe kwa mujibu wa Sheria, lakini "Generalization is a serious crime" katika kujenga hoja.Nadhani Experience ya wenzetu inahitajika, na hakuna aliyesema tu copy. But we do not have to re-invent the wheel either...dr,
..you don't sound like w.slaa!
..lakini, kama unavyowajua watanzania, wamebobea katika uvunjaji wa taratibu,kanuni na sheria. ziwazo zozote zile!
..umewaona wale waliojenga mabondeni, tena si mbali na hapo.
..umeona jinsi waswahili wanavyojenga hovyo hata kushindwa kuacha nafasi ya kupita mkokoteni.
..hata hivyo kosa liko pia kwa viongozi wetu, hasa pale wanapowaachia watu wavunje taratibu,kanuni na sheria, kwa maslahi yao ya kisiasa.
..na mengine mengi.
DAR Si Lamu, jiweke katika soli yao.Umeomba ploti miaka nenda rudi unazungushwa tu, hatimaye baada ya muda mrefu, inapatikana unatakiwa ulipe shs 500,000 lakini mshahara wake wake wa mwezi kima cha chini kwa leo 100,000 hata usafiri tu wa Daladala hautoshi, tena bado hakuna miundo mbinu ya aina yeyote. Unafanya nini? Nimezungumza nao sana, nimefanya utafiti wa kina. Ninakosa majibu ndiyo maana wanajenga Bondeni, wanakubali kusombwa na maji, lakini angalau mtu akae na mke wake na watoto wake. Ni shida. Nawaza kwa mfano tungekuwa na mpango mkakati kama wenzetu, kungelikuwa na Estate Developers, na financial facility accessible kwa mwananchi wa kawaida payable over 50 to 60 years. Ninapenda kutafuta solution ya kudumu watu wetu. Tusipende kulaumu hakuna asiyependa kuishi kwa raha na familia yake. Shida inawasukuma hapo walipo. Kazi ya Serikali ni kutengeneza mazingira bora kwa kila mtu, as a duty si hisani. Ndiyo maana ninahoji kukimbilia bomoa bomoa kabla hatuja 'exhaust avenues zingine za kusaidia binadamu. Anayevunja Sheria kwa makusudi ashughulikiwe kwa mujibu wa Sheria, lakini "Generalization is a serious crime" katika kujenga hoja.Nadhani Experience ya wenzetu inahitajika, na hakuna aliyesema tu copy. But we do not have to re-invent the wheel either.
some times ubabe kama huu unahitajika. Watu tumekuwa na tabia ya kuijaribu nguvu ya serikari. wewe umeshalipwa na umeambiwa uondoke kupisha maendeleo halafu unang'ang'ania kubaki unategemea nini? kwanza nyumba zenyewe zilijengwa kienyeji bila kuzingatia ramani za mipango miji, jamani hamuoni miji ya wenzetu inavyopendeza? cheap things are always expensive bwana.
..yebo,
..hizo sheria,etc sio tatizo ingawa sisemi ziko sawa 100%.
..tatizo ni usimamizi wake! na zaidi uvivu katika kusimamia kazi na kutekeleza wajibu. hapa nawagusa wakuu wa miji na wapanga miji wao.
..yebo,
..hizo sheria,etc sio tatizo ingawa sisemi ziko sawa 100%.
..tatizo ni usimamizi wake! na zaidi uvivu katika kusimamia kazi na kutekeleza wajibu. hapa nawagusa wakuu wa miji na wapanga miji wao.