Bomoabomoa yaingia Tarime, wazee na wajane hatarini

Bomoabomoa yaingia Tarime, wazee na wajane hatarini

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
13 August 2021
Tarime, Mara
Tanzania

BOMOABOMOA YAINGIA TARIME, WAZEE NA WAJANE HATARINI


Wakaazi washangaa kwanini TARURA wanataka kubomoa nyumba ambazo zipo ktk mji wa Tarime wakati kuna option / mbadala wa kutengeneza by-pass / barabara kupita nje kidogo na kuziacha nyumba hizo kama kuna ulazima wa kupanua barabara inyaopita karibu au katika mji huo wa mkoa wa Mara.

Umetolewa mfano miji mingi ina miradi ya barabara kama mji wa Unguja, Zanzibar au Nairobi Kenya lakini wapanga maendeleo ya Vitu kama barabara huicha mitaa mikongwe na kutengeneza by-pass au njia zinazopita nje ya mji ili kuepusha kuvunja makazi ya watu na wakati huo huo miji hiyo kupata barabara zinazoungani mji huo wa zamani na sehemu nyingine za mkoa au mikoa.
 
Vodacom 16/08/2021 wanaboresha vifurushi vyao stay alerted
 
Tarime kwa hayo maboma hapo uyaache ukajenge bypass nani aliwaambia wajenge Barabarani? Wacha wavunjiwe mji ukue
 
CCM hawajui kwamba wanaweza wakaishi kwa Raha bila kuwaumiza watu.
Raha ya CCM Ni kuona watu wanateseka.
 
Wamesha bomoa zote kasoro za mtalaam Zacharia. Jamaa wamepiga hadi kipande cha ukuta wa fensi ya kanisa la Wasabato lakini majengo ya Zacharia hawajayagusa kabisa. Na magari yake yamejazana barabarani.
 
Walipwe fidia za kutosha ili waweze kumudu gharama za kujenga nyumba nyingine na wapewe viwanja bure au kwa bei nafuu.
13 August 2021
Tarime, Mara
Tanzania

BOMOABOMOA YAINGIA TARIME, WAZEE NA WAJANE HATARINI


Wakaazi washangaa kwanini TARURA wanataka kubomoa nyumba ambazo zipo ktk mji wa Tarime wakati kuna option / mbadala wa kutengeneza by-pass / barabara kupita nje kidogo na kuziacha nyumba hizo kama kuna ulazima wa kupanua barabara inyaopita karibu au katika mji huo wa mkoa wa Mara.

Umetolewa mfano miji mingi ina miradi ya barabara kama mji wa Unguja, Zanzibar au Nairobi Kenya lakini wapanga maendeleo ya Vitu kama barabara huicha mitaa mikongwe na kutengeneza by-pass au njia zinazopita nje ya mji ili kuepusha kuvunja makazi ya watu na wakati huo huo miji hiyo kupata barabara zinazoungani mji huo wa zamani na sehemu nyingine za mkoa au mikoa.
 
Back
Top Bottom