Ni miezi 4 sasa kata ya Bonyokwa Kisiwani Mtaa wa Oysterbay wananchi hatujawahi kuona maji. Pamoja na juhudi za kuwasiliana na Mbunge wetu Bonah inaelekea mfupa huu umemshinda.
Mpaka tunajiuliza mbona kipindi cha Utawala wa Mwendazake shida ya maji ilishaisha?
Serikali ya CCM jitafakarini sana, hii haina afya kwa chama chenu kwa sababu matatizo ni mengi kama haya ya maji, umeme kupanda kwa mafuta na ni wazi viongozi wa CCM wameshindwa kutatua kero hizi kwa wananchi.
Mpaka tunajiuliza mbona kipindi cha Utawala wa Mwendazake shida ya maji ilishaisha?
Serikali ya CCM jitafakarini sana, hii haina afya kwa chama chenu kwa sababu matatizo ni mengi kama haya ya maji, umeme kupanda kwa mafuta na ni wazi viongozi wa CCM wameshindwa kutatua kero hizi kwa wananchi.