Bond loan

Sacsosanct

Member
Joined
Sep 2, 2014
Posts
27
Reaction score
36
Nahitaji fedha kwa kuweka bond kiwanja, nipo dar, anayejua napoweza pata tafadhali
 
Wewe upo wapi?
Kiwanja kipo wapi?
Kina ukubwa gani?
Kina hati?
Gharama ya kiwanja
Unahitaji kiasi gani?

Jieleze humo unaweza pata mdau hata humu.

Bondi za viwanja huwa changamoto sana.
Dar, plot kiluvya-pwan, 20×20, kina hati, value: 9 million, required .....but just a 50% ya thamani
 
Nenda kakope benki mzee, waswahili hela zao huwa wanazifanyia mazabe hutaweza kulipa deni na plot itakwenda kama utani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…