Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
Mwanamasumbwi wa kike raia wa Mexico, Jeanette Zacarias Zapata amefariki dunia baada ya kupita siku tano tu tangu kupokea kipigo cha ‘KO’ ulingoni.
Jeanette Zacarias Zapata, 18 aliyefariki dunia
Zapata mwenye umri wa miaka 18, alipigwa ‘Knocked out’ raundi ya nne dhidi ya bondia Marie Pier Houle nakupelekea mwamuzi wa pambano hilo kulisimamisha na dada huyo tolewa ulingoni akiwa hoi hajitambui.
Pambano hilo la ‘professional’ lilifanyika nchini Canada siku ya Jumamosi lilishuhudiwa, Zapata akipigwa ngumi nyingi mwishoni mwa mno raundi ya nne pasipo kuweza kurudisha hata moja wala kujilinda.
Promota wa mchezo huo, Yvon Michel amesema kuwa Zapata alipofikishwa hospitali na ‘ambulance’ akapata ‘coma’ kabla ya kufariki majira ya 3:45 alasiri.
Jeanette Zacarias Zapata, 18 aliyefariki dunia
Zapata mwenye umri wa miaka 18, alipigwa ‘Knocked out’ raundi ya nne dhidi ya bondia Marie Pier Houle nakupelekea mwamuzi wa pambano hilo kulisimamisha na dada huyo tolewa ulingoni akiwa hoi hajitambui.
Pambano hilo la ‘professional’ lilifanyika nchini Canada siku ya Jumamosi lilishuhudiwa, Zapata akipigwa ngumi nyingi mwishoni mwa mno raundi ya nne pasipo kuweza kurudisha hata moja wala kujilinda.
Promota wa mchezo huo, Yvon Michel amesema kuwa Zapata alipofikishwa hospitali na ‘ambulance’ akapata ‘coma’ kabla ya kufariki majira ya 3:45 alasiri.