JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Bondia Canelo Alvarez amefanikiwa kumpiga Gennady Golovkin katika pambano la uzito wa kati (Super-middleweight) lililofanyika Las Vegas, Marekani, asubuhi ya leo Septemba 18, 2022.
Ameshinda kwa pointi 116-112, 115-113, 115-113 ikiwa ni pambano la pili kwa Golovkin kupoteza katika maisha yake ya ngumi na yote akipoteza dhidi ya Canelo ambaye ametetea mikanda ya WBA (Super), WBC, IBF, WBO na The Ring.