Bondia Canelo Alvarez amchakaza Golovkin kwa pointi

Bondia Canelo Alvarez amchakaza Golovkin kwa pointi

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
16565503928854.jpg

Bondia Canelo Alvarez amefanikiwa kumpiga Gennady Golovkin katika pambano la uzito wa kati (Super-middleweight) lililofanyika Las Vegas, Marekani, asubuhi ya leo Septemba 18, 2022.

Ameshinda kwa pointi 116-112, 115-113, 115-113 ikiwa ni pambano la pili kwa Golovkin kupoteza katika maisha yake ya ngumi na yote akipoteza dhidi ya Canelo ambaye ametetea mikanda ya WBA (Super), WBC, IBF, WBO na The Ring.
 
Back
Top Bottom