Bondia Cheka aanza form one!

hope atafanya vizuri,akikosea ataregret kama sie wengine tuliokosa bahati hio....:nod:
 
Ni hatua nzuri ila mwanzo mgumu,asome kwa bidii maana wanamichezo wanadhulumiwa sana katka kusaiin mikataba.
 
Jamaa mwenye ngumi kama jiwe,francis cheka amepata ofa ya kusoma form one katika shule moja hapo moro. Wiki ijayo ataanza pre form one. Ofa hyo inakuja wiki moja baada ya kupewa viwanja viwili kama zawadi na serikali.

Nipo tayar akipanda dau nimtoe number aka maths ila anilipe kabisa maana kudai noma ila akubal viboko akikosea.
 
Jamaa mwenye ngumi kama jiwe,francis cheka amepata ofa ya kusoma form one katika shule moja hapo moro. Wiki ijayo ataanza pre form one. Ofa hyo inakuja wiki moja baada ya kupewa viwanja viwili kama zawadi na serikali.

nyc elimu haina mwisho.
 
Yule waziri Mathayo naye angefanya kama Cheka aanze kutumia Jina lake halisi Mtoto wa Kiongozi wa Nchi jina lake halina ubini na baba yake? namnani huyu Havae Msuya
 
Hasan dalali,mwenyekiti wa zamani wa simba alianza form one ili awe na vigezo vya kugombea u chairman,na matokeo yake akapata zero!
 
All the Best!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ni ujinga!!! Form one wanafundisha nn?? Angalia mtaala anoataka masomo atakayosoma, historia za mkwawa,? define density,? types of rainfall,? importance of mashroom? Na mengine mengi ya type hiyo. Huyu angetafuta college akapiga certificate course flan specific mfano biashara n.k maana cheka ni mtu mzima amezunguka sehem nyingi na anajua mambo mengi elimu yake "practically " ni kubwa kuliko hata form four Leaver .. watanzania tubadilike Kwa hili jamani ...... " mtazamo tu "
 


...Hiyo College ataingiaje bila angalau kuwa na cheti cha Kidato cha Nne, maana jamaa kafika la Saba tu?? ama kuna College unaweza kuingia kwa Cheti cha Darasa la Saba?? Utakuwa Umemsaidia Sana ukimpa mwongozo hapo...!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…