Bondia Patrick Day afariki baada ya kichapo kikali

Bondia Patrick Day afariki baada ya kichapo kikali

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
HUU MCHEZO HUTEGEI KAMA FOOTBAL, UKITEGEA UNAKUFA


Bondia Mmarekani Patrick Day amefariki dunia jana Jumatano zikiwa zimepita siku nne tangu atolewe na machela ulingoni baada ya kupigwa na mpinzani wake Charles Conwell katika raundi ya 10 ya pambano lao.

Pambano hilo la Super welterweight lililopigwa Wintrust Arena,Chicago lilikuwa ni la utangulizi kuelekea pambano kuu la uzito wa juu kati ya Oleksandr Usyk na Chazz Witherspoon.

Patrick,27, alipoteza fahamu baada ya kupata majeraha ya ubongo na hivyo kukimbizwa Hospitali huko nchini Marekani ambapo alilazwa mpaka mauti yalipomkuta.

Taarifa iliyotolewa na Promota wake Lou DiBella inasema kuwa, Patrick alifariki akiwa amezungukwa na familia yake, marafiki zake wa karibu na watu wa timu yake ya ngumi.

Wakati Patrick alipokuwa mahututi hospitali, mpinzani wake Mmarekani Charles Conwell,21, aliandika barua ya masikitiko, akisema hakutaka kitu hicho kimtokee Patrick na kueleza kuwa tukio hilo limemfanya afikirie kuachana na mchezo wa ngumi, na pambano hilo linamjia mara kwa mara kichwani kwake na kujiuliza kwa nini tukio hilo limetokea kwani hakuna anayestahili limtokee.

====

Patrick Day: Boxer dies in hospital four days after suffering brain injury in Charles Conwell fight

American boxer Patrick Day (right) throws a punch during his fight against Charles Conwell (left)

Patrick Day won 17 of his 22 fights, with four defeats and one draw

Boxer Patrick Day has died aged 27 - four days after suffering a brain injury in a fight against Charles Conwell.
The American was put into a coma on Saturday after he was knocked out in the 10th round of his super welterweight bout in Chicago.

Promoter Lou DiBella confirmed Day had died on Wednesday "surrounded by his family, close friends and members of his boxing team".

"He was a son, brother, and good friend to many," said a statement.
"Pat's kindness, positivity, and generosity of spirit made a lasting impression with everyone he met."
Day was taken from the ring on a stretcher after the conclusion of the fight on the undercard of Oleksandr Usyk's heavyweight victory over Chazz Witherspoon in the US.

"Patrick Day didn't need to box," the statement from DiBella Entertainment continued. "He came from a good family, he was smart, educated, had good values and had other avenues available to him to earn a living.

"He chose to box, knowing the inherent risks that every fighter faces when he or she walks into a boxing ring. Boxing is what Pat loved to do. It's how he inspired people and it was something that made him feel alive."

Fellow American Conwell, 21, wrote an emotional letter to Day following the fight.

"I never meant this to happen to you, all I wanted to do was win," he said.

"If I could take it all back, I would. No-one deserves this to happen to them."

Day won 17 of his 22 fights, with four defeats and one draw.

In July, Russia's Maxim Dadashev and Argentina's Hugo Santillan both died following injuries sustained during fights.
"It becomes very difficult to explain away or justify the dangers of boxing at a time like this," the statement continued.
"This is not a time where edicts or pronouncements are appropriate, or the answers are readily available. It is, however, a time for a call to action.

"While we don't have the answers, we certainly know many of the questions, have the means to answer them, and have the opportunity to respond responsibly and accordingly and make boxing safer for all who participate.
"This is a way we can honour the legacy of Pat Day. Many people live much longer than Patrick's 27 years, wondering if they made a difference or positively affected their world. This was not the case for Patrick Day when he left us."

'A brave, kind and wonderful friend' - the boxing world reacts
Boxing announcer Michael Buffer was among the first to pay tribute to Day, describing him as a "wonderful young man", before adding "everyone in the boxing community is crushed".

WBC president Mauricio Sulaiman said boxing had lost a "brave, kind and wonderful friend".
 
Hivi kwahiyo aliemtwanga atafunguliwa mashtaka ya mauaji?

Kama ndio, Ni Kwanini?
Kama sio, Ni Kwanini?
 
Ubaya wa Michezo ya ngumi hizi haunaga behind the scenes,,,ndugu wa marehemu wapate faraja katika kipindi hiki
 
BONDIA ALIYEUA NASHAURI WAWE WANASTAFISHA TU MAANA ATAKUWA ANAOGOPWA KWELIKWELI
 
Karume alipiga marufuku huu mchezo Zanzibar.
 
Hivi kwahiyo aliemtwanga atafunguliwa mashtaka ya mauaji?

Kama ndio, Ni Kwanini?
Kama sio, Ni Kwanini?
Hakuna shitaka lolote dhidi ya mpinzani
Kabla ya pambano lazima usaini mkataba wa kukubaliana na lolote hata kifo
Pia sheria ipo wazi kuwa alipigana kwa ridhaa yake
Valento non fit injuria
Once u consent there is no liability in tort
 
Back
Top Bottom