Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
lilipiganwa Tanzania kugombea mkanda wa ABUHiyo ABU ni nini wakuu? Pambano lilipiganiwa nchi gani?
naunga mkono hoja 100%. Japo sipendi ngumi za kibongo.Hii ndiyo Taarifa mpya iliyosambazwa mitandaoni , ambako inadaiwa Rais wa ABU Haucine Hauichi amegundua kwamba alama zilizotangazwa na Majaji wa mchongo zilipigwa karata tatu , keusi kekundu .
Kwamba alizopaswa kupewa alizopaswa kupewa Sabelo Ngebinyana wa S.Africa akapewa Tony Rashid kwa njia ya Uzalendo .
ABU inamtambua Ngebinyana kuwa Mshindi .
Mytake : Wote waliohusika na mchongo huu waondolewe kwenye mchezo wa ngumi
Noma kweli yaani ! tushastukiwa !naunga mkono hoja 100%. Japo sipendi ngumi za kibongo.
Hata kidunda alipigwa na Katompa ila katompa akadhulumiwa , sasa dunia ya ngumi imetustukia , tumekwishaKwa kweli hata km hatujui sheria za mchezo wa ngumi yule Msauzi alimpiga sn Mtz hata wakati wanatangaza niliguna nikajisemea kimoyomoyo
Ndo za mwakwinyo hiziNoma kweli yaani ! tushastukiwa !
Ambapo ABU ni nini. Ni mtu?lilipiganwa Tanzania kugombea mkanda wa ABU
African Boxing UnionAmbapo ABU ni nini. Ni mtu?
Katompa alitandikwa na Kidunda Hadharani ila sifahamu wewe binafsi una shida gani na Kidunda. Umejaribu kuandika nyuzi kadhaa uki mdhihaki na kumshutumu Kidunda ila kitu ambacho Nina uhakika nacho Kwa Africa wapo mabondia wachache sana wenye uwezo wa ku mchallenge Kidunda.Hata kidunda alipigwa na Katompa ila katompa akadhulumiwa , sasa dunia ya ngumi imetustukia , tumekwisha
Hivi kwanini wewe huwa upo upande wakutangaza mabaya tu ya watu hata kuyasema na mema yao huwa huweziHii ndiyo taarifa mpya iliyosambazwa mitandaoni, ambako inadaiwa Rais wa ABU Haucine Hauichi amegundua kwamba alama zilizotangazwa na Majaji wa mchongo zilipigwa karata tatu, keusi kekundu.
Kwamba alizopaswa kupewa Sabelo Ngebinyana wa S. Africa akapewa Tony Rashid kwa njia ya Uzalendo.
ABU inamtambua Ngebinyana kuwa Mshindi.
My take: Wote waliohusika na mchongo huu waondolewe kwenye mchezo wa ngumi.
ARUSHA BOXING UNIVERSITYHiyo ABU ni nini wakuu? Pambano lilipiganiwa nchi gani?
Hili niliwaambia watu wakanibishia.Hata kidunda alipigwa na Katompa ila katompa akadhulumiwa , sasa dunia ya ngumi imetustukia , tumekwisha