Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 463
Wandugu,
Natamani kunenepa. Nimechoka kutaniwa mkomao! Sasa nina rafiki yangu ambaye ni bonge, yeye asipokula siku 2 utamuona kabadilika kabisa...yaani kapungua ni hatari! mimi ni mwembamba, kwahyo inaenda vise versa...yaani nile healthy. Sasa huu mwezi wa pili, nakula mboga nane, vyakula vyote vizuri kwa gharama yoyote. Asubuhi supu la samaki na mbwembwe kibao..mchana ndo usiseme, Menu hunichukua almost elfu 8, lkn siongezeki. Mwingine akashauri eti nifanye mazoezi, sasa si mazoezi yanapunguza mwili? na mm sitaki nipungue zaidi ya hapa. Mwingine akasema nipunguze kugegedana..sasa wakuu...nisipogegeda, vizuri mle nyie tu sio? Nishaurini ndugu zangu.
Natamani kunenepa. Nimechoka kutaniwa mkomao! Sasa nina rafiki yangu ambaye ni bonge, yeye asipokula siku 2 utamuona kabadilika kabisa...yaani kapungua ni hatari! mimi ni mwembamba, kwahyo inaenda vise versa...yaani nile healthy. Sasa huu mwezi wa pili, nakula mboga nane, vyakula vyote vizuri kwa gharama yoyote. Asubuhi supu la samaki na mbwembwe kibao..mchana ndo usiseme, Menu hunichukua almost elfu 8, lkn siongezeki. Mwingine akashauri eti nifanye mazoezi, sasa si mazoezi yanapunguza mwili? na mm sitaki nipungue zaidi ya hapa. Mwingine akasema nipunguze kugegedana..sasa wakuu...nisipogegeda, vizuri mle nyie tu sio? Nishaurini ndugu zangu.