Habarini za saa hizi wote.
Kama mjuavyo siku zote katika kuanzisha biashara;-cha muhimu huwa ni wazo kwanza.mm binafsi nimepata wazo la kufungua pump ya kuuza mafuta ya taa hapa mtaani kwetu.naomba mwenye ufahamu wa kutosha anisaidie ufafanuzi kuhusu biashara hiyo.
nawasilisha ombi.
Uza hiyo pump with 10% mark up
sina pump ila nina wazo la kuwa nayo.
BASI ACHANA NAYO........NUNUA HII KITU
sina pump ila nina wazo la kuwa nayo.
Mpe sababu za kumshawishi aache wazo lake, afate fursa unayomwitia wewe.
mbona umemuuliza kama ana tembocard mastercard?kumbe haujafanya hata utafiti halafu title inasema BONGE LA BUS. PLAN, kijana unatembocard master card?