Bongo baada ya miaka 5

Emanuel Makofia

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2010
Posts
3,832
Reaction score
635
πŸ˜•Kutokana na agizo la rais tutegemee hili kabla ya kutoka madarakaniπŸ˜•
 
Jamaa yetu tokea 2005-2006-2007-2008-2009-2010---- yeye ni ahadi na maagizo tu! utekelezaji 00%
 
πŸ˜•Kutokana na agizo la rais tutegemee hili kabla ya kutoka madarakaniπŸ˜•
You are so funny guy! Hivi ulikuwa wapi mwaka 2005 ambapo Rais akisaidiana na akina Adam Kimbisa waliweka ahadi kemkem za kumaliza tatizo la foleni Dar es salaam kwa kuleta mabasi yaendayo kasi plus kupanua barabara ikiwemo kujenga hizo fly over?
Kwa hiyo leo ndo umeona katoa ahadi zaidi kuzishinda alizowahi kutoa?
Nafikiri hali kama hiyo itakuja kutokea miaka 50 hadi mia moja ijayo iwapo kutapatikana viongozi wanaojua kutafuta hela kama Mkapa.
 
kwanza aanze na foleni za maji, madawa hospitalini ndo aje na maupuuzi haya!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…