Bongo bhanaaaa

Wazawa kibao wanafanya mambo makubwa kwa wananchi wanaowazunguka wananyimwa hiyo. Roho mbaya na chuki. Watu wanajenga barabara, wanajenga shule, wanasaidia jamii, barabara za maeneo yao kuitwa majina yao hai mkuu wa mkoa atajua
 
Kama unampenda mno huyo mkenya kampe shamba lenu kijijini kwenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…