naughty_bee
Member
- Sep 13, 2017
- 12
- 6
jamani nauliza kama kuna mitandao yoyote yakuchat na wabongo wenzangu imenijia hamu ya toka enzi za darhotwire naomba nambie kama kuna website yoyote au app. shukran nimeona moja inapatikana paltalk inaitwa bongo lakini kila nikingia sioni mtu.
jamani kuna amtu katoa wazo lakufungua chat room yetu sasa mimi nimefungua kutoka paltalk nimeifanya ya basic for now ili nione watu wangapi watakua interested njooni muni support. one problem room haiwezi kua open mpaka admin awe online so if you come ill make everyone an admin atleast iwe online kwa kila mtu na time yake.
thanks link iko below
BONGO - Paltalk Room
jamani kuna amtu katoa wazo lakufungua chat room yetu sasa mimi nimefungua kutoka paltalk nimeifanya ya basic for now ili nione watu wangapi watakua interested njooni muni support. one problem room haiwezi kua open mpaka admin awe online so if you come ill make everyone an admin atleast iwe online kwa kila mtu na time yake.
thanks link iko below
BONGO - Paltalk Room