WORLD WAR 5
JF-Expert Member
- Aug 28, 2021
- 508
- 970
Akijua atasapotiwa tu ila bado underground na hao wanaomshinasha wanamtafutia haters kinguvu na akiungia mkenge huo hatofika kokote, apige style ya kukimbiza mwizi kimyakimya watakuja kustuka ameshafika juu.Yule Dogo mario kiukweli anajua maana hata ukisikiliza amapiano alizoimba yaani ile mama amina na hii beer tamu unamuelewa anaimba nini sio beat za kelele kama za akina harmo, baba levo au diamond Dogo anajitahidi sana ningependa watanzania wasupport watu kama mario ili game ibalance mambo ya uteam ndio yaliua muziki wa congo kutoka kua muziki wa bara zima hadi umebaki kua muziki wao peke yao
Fact.[emoji666][emoji666][emoji666]
KWANI NI LAZIMA TUBISHANE ???
[emoji117]KILA MTU NA AKIPENDACHO.
[emoji666]YAANI KIPENDA ROHO.
[emoji117]HUWEZI KUMWELEWESHA NYANI KUWA ASALI NI TAMU KUZIDI NDIZI.
NB: CHUKI HAZIJENGI [emoji117] UNACHOKIPENDA WW CYO LZM NA MM NIKIPENDE[emoji120]
Safi na Wasafi haibabaiki na mende ni chapa raba, wivu wa kijima watasoma namba daimaMkuu bongo kila mtu anastyle yake ya uimbaji. Ukisikiliza hip hop ya Kala, Makini, Fid Q utaelewa nachomanisha. Ndio maana tunaita bongo fleva. Ni muziki wenye ladha ya kitanzania.
Hebu niambie Alikiba anaimba aina gani ya muziki? Mbosso, Marioo, Jay Dee?
Sema hivi unachukia label ya WCB, Over
Marioo ndo underground?..AiseeAkijua atasapotiwa tu ila bado underground na hao wanaomshinasha wanamtafutia haters kinguvu na akiungia mkenge huo hatofika kokote, apige style ya kukimbiza mwizi kimyakimya watakuja kustuka ameshafika juu.
Rayvanny hakuwahi kuwa kwenye 'bifu' wala mashindano na msanii yoyote na watu hawakuwa wakibaini jinsi namba zake zinavyokimbiza hasa kwenye mauzo ya digital platforms, issue ya Paula/Kajala ndiyo ikazaa bifu na watu wamekuja kustuka kumbe kwenye digital platforms kwa Bongo ndiye yuko namba mbili nyuma Diamond. Kuwa silent sniper unapaa kimyakimya bila mikwaruzo.
Marioo ni underground ndiyo, hii inanikumbusha boost aliyokuwa akipewa Aslay kwamba amemfunika Diamond lakini kelele bila uhalisia mwisho wa siku ukweli hujidhihirisha wenyewe. Hizi comments ziwekwe kama kumbukumbu lakini baadaye mtu asije na cheap excuses mmoja atakapoishiwa pumzi kwenye hii race.Marioo ndo underground?..Aisee
Rayvanny na kwaya zake zile ajifunze kwa Marioo kupika muziki mzuri.
We hata mavi ikiwa WCB utaisifia kwamba hainukiSijaona talent kwa marioo, bado sana. Tena sana. Sishangai bongo kuwa na hizi battle za kishamba. Msanii mkubwa kulinganishwa na wadogo ili kumshushA. Wakati flani Aslay aliwahi linganishwa na Diamond, walipochemka wakaanza Marioo napo wakachemka. Ikabidi waendelee na Kiba ambaye ndio kabisa alichemka
Sasa ule nao wimbo au tenzi za rohoniUzuri hata chawa wenyewe moyoni madude ya marioo wanacheza..
Mnyakyusa juzi katoa inaitwa "wanaweweseka"[emoji3][emoji3][emoji3]
Watakwambia anajuaaa.. πππSasa ule nao wimbo au tenzi za rohoni
Diamond anaingiaje hapa?Marioo ni underground ndiyo, hii inanikumbusha boost aliyokuwa akipewa Aslay kwamba amemfunika Diamond lakini kelele bila uhalisia mwisho wa siku ukweli hujidhihirisha wenyewe. Hizi comments ziwekwe kama kumbukumbu lakini baadaye mtu asije na cheap excuses mmoja atakapoishiwa pumzi kwenye hii race.
Kupenda test flani ya uimbaji ni haki ya kila mtu lakini achievements huwa haziji bila watu kuupenda muziki wa muhusika, ukiona muziki unapendwa na watu wengi hata kama wewe hauupendi ujue kuna kitu hapo hata kama siyo your kind of flavor.
Kwangu mwanamuziki anatoka kwenye kuwa underground akishakuwa na levels flani za mafanikio si kwa kelele za wanaomshabikia.
Anakwambia "wanaweweseka"πMarioo ndo underground?..Aisee
Rayvanny na kwaya zake zile ajifunze kwa Marioo kupika muziki mzuri.
Kumwita Marioo underground ni kuonyesha kiasi gani wewe ni wcb lialia..Marioo ni underground ndiyo, hii inanikumbusha boost aliyokuwa akipewa Aslay kwamba amemfunika Diamond lakini kelele bila uhalisia mwisho wa siku ukweli hujidhihirisha wenyewe. Hizi comments ziwekwe kama kumbukumbu lakini baadaye mtu asije na cheap excuses mmoja atakapoishiwa pumzi kwenye hii race.
Kupenda test flani ya uimbaji ni haki ya kila mtu lakini achievements huwa haziji bila watu kuupenda muziki wa muhusika, ukiona muziki unapendwa na watu wengi hata kama wewe hauupendi ujue kuna kitu hapo hata kama siyo your kind of flavor.
Kwangu mwanamuziki anatoka kwenye kuwa underground akishakuwa na levels flani za mafanikio si kwa kelele za wanaomshabikia.
Muziki mzuri ni upi?Marioo ndo underground?..Aisee
Rayvanny na kwaya zake zile ajifunze kwa Marioo kupika muziki mzuri.
Shemu vipi?Marioo yupo vizuri
Ila hawez kumfikia rayvanny