Bongo Fleva ya zamani tulikuwa tunapewa story.. siku hizi tunapewa nini?

ule ndo ulikuwa mziki bana...saiv umavi mavi tu! bongo fleva imekuwa sijui km nini maana bora hata ya tarabu na boringo
 
Zama za wazee zimeisha..usijilazimishe kwenda na wakati ndio maana mmewekewa program zenu za zilipendwa..hizi ni zama za kuacha maneno na kuweka muziki...
Ha Ha Ha Ha Ha! Watu walishaga elimishwa Sana, saa hii hawataki tena hadithi... Wanataka burudani tuu kutoa stress, nchi yenyewe hii babu, ohooo flow Kali beat Kali ndo kitu imebaki watu watoe mastress man.
 
Mtoto wa geti Kali 1&2
asali wa moyo 1&2

Ulinikataa -Chief
Zali la mentari- jay
 
Imekaa vibaya
hii Bado haijatuliaa
imekaa vibayaaa
 
From
...NAULIZIA HUKO WAPI NINAKOKWENDAAA, SIJUII LINI NITAFIKAAAAAA...........!
to
.WAPO....! MASHOGA WAPO, WASAGAJI WAPO....!
This is pathetic.
 
Athuman-solid ground
jerry -solid ground
Baba jeni-solid ground

Jerry chorus
Kichaaa kimepanda(jerry)
baada ya kuvuta mineli..
wengi walidhani kalogwa na jirani...
kumbe mibange imempanda kichwani...

Baba jeni chorus
Baba jeni alipopata mafao
tabia tabia ikabadilika
na Sasa yamekumkuta
anabaki anajuta..


muziki wa Zamani mtamu sanaaa
 
Dah, kitu bush party! Aiseeee! Solid Ground Family.
 
MTU na pesa -Afande selle

Chorus
watu nazo pesa
watu nazo pesa
wewe zinakutesa
Mimi zinanitesa pesa
 
Kumbuka braza Kaka
Kati yangu na wewe hakuna aliyekamilika
kama kaoga ni usafi taulo lisinge chafuka..

baadhi ya mistari ya mayowe-Afande selle
 
Nafikiri ndiyo maana yule msanii ameimba 'naomba unisaidie kushea' ..pengine alimaanisha hivi ili watu waujue mziki wa enzi zile...
bila shaka umemsaidia kushea...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…