mkwanja wenyewe anao?mchovu fulani tu muuza mitumba mtu wa kupenda maujiko kwenye magazeti,sema hao madem wa elfu kumikumi ndo anawafanya kitoweo,na hapo alijua akitoa hiyo lazima atauza sura kapatiaDah kweli ukiwa na mkwanja chochote waweza fanya juu ya hawa dada zetu pale jamaa anaweza pima oil lkn demu akatulia tu hahaa duh kweli noma