Bongo movie na BOT kunani.... ??

Bongo movie ni sample ,inawakilisha jinsi waafrika(watanzania) wanavyofikiri

ila mjue tu hata Nigeria wanalia njaa,akina Ramsey Noah wanasema movie haziwalipi. Hivyo wanatumia umaarufu wao kupata pesa indirectly kama matangazo n.k

ha
 
Mkuu sasa hivi watahamia kwenye lile daraja la mwendokasi mark my word!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…