warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
baadhi ya mastaa wa movie za kibongo wamemsusia super star wema sepetu msiba wa mdingi wake kwa madai kuwa mnyange huyo hana historia ya kuudhuria kwenye misiba ya wasanii wenzie ambao amewazidi umaarufu.inasemekana wema aliwah hudhuria kwenye msiba wa super star mwenzie na aliyewahi kuwa my number one wake marehemu Steven kanumba tu na ule wa sharo millionea huk akisusia mbali msiba wa sajuki na
ya wasanii wengine ambao hawana majina hal iliyoleta chuki na kisasi miongoni mwa baadhi ya wasanii wao bongo movie ambao walienda mbali zaidi kwa kuunda kamati na team maalumu kwa ajili ya kujibu mashambuliz ambapo walisendian msg
ya wasanii wengine ambao hawana majina hal iliyoleta chuki na kisasi miongoni mwa baadhi ya wasanii wao bongo movie ambao walienda mbali zaidi kwa kuunda kamati na team maalumu kwa ajili ya kujibu mashambuliz ambapo walisendian msg