Bongo Movie wamsusia Wema msiba


Linatishaje. Nahama hapo sirejei tn hata kama nalipwa milioni. Dduh
 
Ndo ivo binami, ivi umepata umbea wa lile chatu la arusha??, inasemekana ni mtoto wa mwenye nyumba hilo chatu, nimetetemekaje??

Yaani wewe acha tu nilitetemeka hatari,sasa mbona walimuua?huyo mtoto wa huyo mama yupo hai au alishakufa?kama alishakufa basi alimtoa kafara maskini!!!!Matajiri ni wakuogopwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…