Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,374
- 6,857
Nadhani ndio movie inayopigiwa promo sana hapa bongo kwa muda huu. Kwanza nimpongeze Kanumba, kaicheza vizuri.
Halafu kuna sura mpya mpya nyingi nadhani ananyayua vipaji. Wasanii akina swebe nilizani wamepotea lakini jamaa kawarudisha tena, hii safi.
Ile kashfa ya zecomedy kwamba Kanumba hajui Kiingereza ime-prove wrong!! Jamaa kasimama kwenye english, kozi aliyofanya naweza sema ni success!! Haumi maneno, yupo straight forward, Hongera!!
Nije kwenye point, Kiukweli hii movie jamaa kawadhalilisha mno wanawake, mwanzo mwisho!! Kwa maoni yangu hii movie haistahili kuonyeshwa kwenye jamii(public). Jamaa kaleta dharau, kebehi, majivuno, ubaguzi, ushenzi kwa wanadada, ufirauni, na anajifanya yupo much know kupita maelezo.
Wadada wamedhalilishwa kwa kuitwa kila aina ya majina, like rubbish, takataka, ******, kichwa cha kuku, washenzi, malaya na majina yote machafu unayoyajua. Jamaa kawashambulia mno wanadada kwenye hii movie, sijajua target ya hii movie ni nini!!
Cha kunisikitisha hadi mwisho wa movie jamaa kapata msichana aliyemweka mimba, na anasema hawezi kabisa kumpenda na dhamana yake ni kwa ajili ya mtoto aliye tumboni, na ukiangalia kisa cha yy kutopenda wanawake ni cha ovyo sana!! kwa jinsi alivyowakebehi na kile kisa chake ni completely different. Kisa ni cha kitoto mno hakina mashiko!!
Hii movie ikiachwa hivihivi bila taasisi flani za kijamii kuikemea nadhani inaweza kuzalisha watu wa dizaini ile ya kutowapenda,kutowaheshimu na kuwachukia wanawake daima. Women need to prove themselves correct by demolishing and eliminating the Movie MOSES!! They need to make huge strike against the movie. Haifai!!
Halafu kuna sura mpya mpya nyingi nadhani ananyayua vipaji. Wasanii akina swebe nilizani wamepotea lakini jamaa kawarudisha tena, hii safi.
Ile kashfa ya zecomedy kwamba Kanumba hajui Kiingereza ime-prove wrong!! Jamaa kasimama kwenye english, kozi aliyofanya naweza sema ni success!! Haumi maneno, yupo straight forward, Hongera!!
Nije kwenye point, Kiukweli hii movie jamaa kawadhalilisha mno wanawake, mwanzo mwisho!! Kwa maoni yangu hii movie haistahili kuonyeshwa kwenye jamii(public). Jamaa kaleta dharau, kebehi, majivuno, ubaguzi, ushenzi kwa wanadada, ufirauni, na anajifanya yupo much know kupita maelezo.
Wadada wamedhalilishwa kwa kuitwa kila aina ya majina, like rubbish, takataka, ******, kichwa cha kuku, washenzi, malaya na majina yote machafu unayoyajua. Jamaa kawashambulia mno wanadada kwenye hii movie, sijajua target ya hii movie ni nini!!
Cha kunisikitisha hadi mwisho wa movie jamaa kapata msichana aliyemweka mimba, na anasema hawezi kabisa kumpenda na dhamana yake ni kwa ajili ya mtoto aliye tumboni, na ukiangalia kisa cha yy kutopenda wanawake ni cha ovyo sana!! kwa jinsi alivyowakebehi na kile kisa chake ni completely different. Kisa ni cha kitoto mno hakina mashiko!!
Hii movie ikiachwa hivihivi bila taasisi flani za kijamii kuikemea nadhani inaweza kuzalisha watu wa dizaini ile ya kutowapenda,kutowaheshimu na kuwachukia wanawake daima. Women need to prove themselves correct by demolishing and eliminating the Movie MOSES!! They need to make huge strike against the movie. Haifai!!