Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
habari wana jf,
kwa kuanza tu niseme kwamba tasnia ya sanaa ya maigizo hapa bongo, almaarufu kama bongo movie, imeshika kasi kwa umaarufu kwa kiwango fulani japo ina mapungufu ya ubora wake! bongo movie imefanikiwa kuwatoa vijana wengi sana wakike pamoja na kiume kimaisha! hivyo basi, naweza kusema kwamba, kwa kiasi fulani, bongo movie imeweza kupunguza tatizo la ajira hapa nchini Tanzania.
sasa cha kushangaza ni kwamba, washiriki wengi wa tasnia hii ambao ni mabinti, wamekuwa ni watovu wa nidhamu kupita kiasi kwa matendo yao yao kidhalilishaji na yasiyoendana na jamii husika ikiwemo kupiga picha za uchi pamoja na kutoka na waume za watu na kuvunja ndoa za waume za watu!
sasa kuhusu masuala haya, je basata iko kwa ajili ya nini endapo vitendo kama hivi bado vinafanyika ndani ya sanaa?
ukiangalia tasnia ya uigizaji katika nchi ya nigeria, serikali imefikia hatua ya kutoa ufadhili wa kifedha wa mpaka dola millioni 200 kwa ajili ya kuisapoti tasnia hiyo kwa vile tu imeonekana kuleta mafanikio katika nchi!
sasa je, kwa poor thinkers na money mongers hawa, wakipewa millioni mia mbili na serkali yetu itakuwaje jamani??
mi nadhani ifikie wakati wasanii wa bongo waende shule!! ukiangalia profile nyingi za wasanii wa nigeria kwa mfano osuofia (aliyeigiza katika movie maarufu ya osuofia in london, kwa mfano tu, yeye ana degree ya electrical engineering kama sijakosea, ramsey noah yeye binafsi ambition zake zilikuwa ni kuwa rubani, basi tu aliingia katika filamu kwa force ya watu fulani!)
wasanii wa bongo wa tasnia zoote na si bongo movie tu wanahitaji kubadilika,
itafuteni elimu ndugu zangu, msimwache aende zake, maana huyo ndiye mkombozi wenu!!!!!
kwa kuanza tu niseme kwamba tasnia ya sanaa ya maigizo hapa bongo, almaarufu kama bongo movie, imeshika kasi kwa umaarufu kwa kiwango fulani japo ina mapungufu ya ubora wake! bongo movie imefanikiwa kuwatoa vijana wengi sana wakike pamoja na kiume kimaisha! hivyo basi, naweza kusema kwamba, kwa kiasi fulani, bongo movie imeweza kupunguza tatizo la ajira hapa nchini Tanzania.
sasa cha kushangaza ni kwamba, washiriki wengi wa tasnia hii ambao ni mabinti, wamekuwa ni watovu wa nidhamu kupita kiasi kwa matendo yao yao kidhalilishaji na yasiyoendana na jamii husika ikiwemo kupiga picha za uchi pamoja na kutoka na waume za watu na kuvunja ndoa za waume za watu!
sasa kuhusu masuala haya, je basata iko kwa ajili ya nini endapo vitendo kama hivi bado vinafanyika ndani ya sanaa?
ukiangalia tasnia ya uigizaji katika nchi ya nigeria, serikali imefikia hatua ya kutoa ufadhili wa kifedha wa mpaka dola millioni 200 kwa ajili ya kuisapoti tasnia hiyo kwa vile tu imeonekana kuleta mafanikio katika nchi!
sasa je, kwa poor thinkers na money mongers hawa, wakipewa millioni mia mbili na serkali yetu itakuwaje jamani??
mi nadhani ifikie wakati wasanii wa bongo waende shule!! ukiangalia profile nyingi za wasanii wa nigeria kwa mfano osuofia (aliyeigiza katika movie maarufu ya osuofia in london, kwa mfano tu, yeye ana degree ya electrical engineering kama sijakosea, ramsey noah yeye binafsi ambition zake zilikuwa ni kuwa rubani, basi tu aliingia katika filamu kwa force ya watu fulani!)
wasanii wa bongo wa tasnia zoote na si bongo movie tu wanahitaji kubadilika,
itafuteni elimu ndugu zangu, msimwache aende zake, maana huyo ndiye mkombozi wenu!!!!!