Bongo ni kubanjuka tu mwaka mpya

Bongo ni kubanjuka tu mwaka mpya

Babuji

Senior Member
Joined
Nov 27, 2008
Posts
197
Reaction score
4
595.jpg

hapo! Hapo! Hapooooooooo!!!!!!!!!!!!

594.jpg

Shabiki wa muziki wa Taarab, ambaye hakuweza kufahamika jina lake mapema akijirusha kwenye jukwaa la Jahazi huku akiwa ni mjamzito asiyeonekana kukihurumia kiumbe alichonacho tumboni kwa yale aliyokuwa akiyafanya jukwaani hapo

593.jpg

Mpakate mpaka chini!

587.jpg

Mkazi wa Chang'ombe Dar es Salaam, Elizabeth Richard (kushoto) akimdhibiti kijana aliyejitambulisha kwa jina la Baraka Johnson, mkazi wa Yombo, aliyedaiwa kujaribu kumtendea kitendo kichafu cha udhalilishaji wa kijinsia, wakiwa kwenye msongamano wa watu waliokuwa wakiingia kwenye Mkesha wa kuliombea Taifa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Jijini usiku wa kuamkia jana. Kulia ni Ofisa usalama akijaribu kutoa msaada

583.jpg

Wakazi wa Dar es Salaam, wakiomba dua wakati wa mkesha wa kuliombea Taifa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, usiku wa kuamki January 1.

Source: ***********.com
 
Hapana bwana kwa mwanaume uliekamilika lazima utafanya kila liwezekanalo kuopoa mmoja kati yao;kwa jinsi wanavyotamashi na wanafanya hivyo makusudi ili watu washoboke then..finally uroda hakuna jingine ila baadaye kama hauko makini ni maradhi tu.
 
haya ndio mambo tunayopiga bao watu wa majuu..........Angalia na hii video ujue kwanini watu hatutaiacha bongo.

Yaah! hata mimi nimemkubali huyo mdada....

Ana potential kubwa sana ya ku make top dollar pale Magic City aka The Best Candy Shop in the world...
 
587.jpg

Mkazi wa Chang'ombe Dar es Salaam, Elizabeth Richard (kushoto) akimdhibiti kijana aliyejitambulisha kwa jina la Baraka Johnson, mkazi wa Yombo, aliyedaiwa kujaribu kumtendea kitendo kichafu cha udhalilishaji wa kijinsia, wakiwa kwenye msongamano wa watu waliokuwa wakiingia kwenye Mkesha wa kuliombea Taifa, uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Jijini usiku wa kuamkia jana. Kulia ni Ofisa usalama akijaribu kutoa msaada
Source: nifahamishe.com

Hivi hawa jamaa hawajaacha mchezo wao wa kudunga watu tu!!
 
Hapa nadhani ilikuwa " Kwanini unanitongozea demu wangu " teh teh 😀🙂😱

588.jpg
 
Hapana shaka jamaa aling'oa kichwa..

Yo Yo hiyo video nimeikubali kamanda!


Yaah! hata mimi nimemkubali huyo mdada....

Ana potential kubwa sana ya ku make top dollar pale Magic City aka The Best Candy Shop in the world...
Ukinicheki utacheki na kucheki lakini nacheki kama hazitetemeki basi nacheki
mimi sicheki nimetembelea kwingi na kuzishika nyingi
tangu shule ya msingi
Na hizo kwini keki zimesimama kama hazina breki
Ningekuwa gari hata nisnge overtake
Ningefuata kwa nyuma
ukikwama nasukuma
hata kama niko chuma

Zingine zimesimama zinataka kudondoka
zingine zimefura zataka kulipuka
zingine zina madimpo
Zingine big sana kama 40Kg
Mimi napenda zikivalia mini au bikini
kuzichungulia kichini chini
cheki zikibonga bonga
cheki zikisonga songaa

Malizia na hii 20kg
 
Ukinicheki utacheki na kucheki lakini nacheki kama hazitetemeki basi nacheki
mimi sicheki nimetembelea kwingi na kuzishika nyingi
tangu shule ya msingi
Na hizo kwini keki zimesimama kama hazina breki
Ningekuwa gari hata nisnge overtake
Ningefuata kwa nyuma
ukikwama nasukuma

hata kama niko chuma

mzee una misitari ya mana tutoe singo basi mi nitaitikia chorus 😀 😀 😀
 
Back
Top Bottom