Bongo Star Search 2008 Inasikitisha


Mkombozi;
Asante kwa link hio from global publishers, ila nataka nitofautiane na wewe kidogo kuhusu suala la BASATA kujiuzulu, personal i dont think kama kuna U mantiki wa BASATA kujiuzulu so far, ila tu as far as shindano linahusisha watanzania tulio wengi ambao ushiriki wetu wa kupiga kura invovles pesa then Benchmark they are supposed to te ACCOUNTABLE forour money! na hii itawezekana vipi basi?, its through kutangaza matokeo ya kila awamu ya kura ambazo kila mshiriki amepata!, then nafikiri kuwa na majaji ambao no reliable, sio every TOM AND JERRY akae pale na kubwabwaja tuu! unless otherwise mi nakwambia BSS no sooner will be a peace of crap!

Mimi ilo swala la Misoji na J4 kutoka kumoja wala sioni kama lina umhimu as far as mtu kashinda kiuhalali!, hata wawe wanatoka the same house no problem ila swala la msingi ni kujua DID SHE TRUELY DESERVE THAT?
 
Lengo la mashindano ni zuri lakini uendeshaji una mashaka sana
Tangu mwaka jana Jumane Idd alibebwa hata yule dada aliyekuwa wa pili alipewa kwa sababu ya ujauzito.KALA JEREMIA NA ABUBAKAR walistahili kuwa washindi mwaka jana JUMANNE anaweza kuimba nyimbo za wa2 nadhani tumedhibitisha kutokana na album yake ni mbovu pamoja na kupewa promosheni kubwa but hamna kitu
Nafikiri watu wamesikia nyimbo za KALA na ABUBAKARI wamapoof kuwa walistahili kushinda.
Mwaka huu mshindi alipangwa lazima awe MSICHANA
Huyo misobi hkustahili kuingia hata TOP10
Wasichana wote hakuna aliyestahili kuingia TOP 5
ROGERS LUCAS NDIYE ALIYESHINDA
 
it was a big joke, that girl try to imitate whitney, yaani niliziba masikio kwa aibu, hivi kwanini watanzania tunapenda kufanya vitu kwa ubabaishaji? why?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…