Bongo Star Search (BSS) ina uozo mkubwa sana

Niliacha kufuatilia tangu wampige chini msechu

Na baada ya mshiriki wangu kuwaprove wrong akafanya vizuri kuliko mshindi wao nikajiaminisha najua muziki kuliko wao

Kupiga kelele haisaidii ukiona kitu ni cha kiboya unapiga chini watashtuka baadae
 
Katika program za hovyo hii inaongoza,Kwanza wasanii bora watano tu hapa bongo,hakuna aliyepita kwenye mikono ya BSS,wote asilimia kubwa ya walioshinda kwenye hii program,vipaji vyao vilipotea baada ya kushika mpunga,Kama kwa miaka kumi program haijawahi kuzalisha msanii mwenye hadhi Kama zuchu,au Sam wa ukweli,au Nandy,Marioo,whozu,hii program ni mfu
 
Bruce atarudishwa.
Kumbuka hadi kufikia hapo ukawaona nao ni ufanisi mkubwa.
Sio lazima washinde.

Je uliwahi kimsikiliza Fanabo aliyetolewa na Kayumba?
 
Katika maisha kuna kujua na bahati!

-Unaeza ukawa mjuzi ila huna bahati ukaishia kufa na kipaji chako.

-Unaweza kuwa na bahati ukawa kila unalogusa ni dhahabu mafanikio yakaja chap.

Ndio maana walimwengu wanasema lilia bahati katika maisha.
 
Hao Bruce na Gideon kutolewa BSS siyo mwisho wa muziki, kama wanavipaji wataendelea
 
Washindi wa American Got Talent huwa wanatoboaga? (Naomba jibu kwa wafuatiliaji)
Liona lewis nais ni mfano. Alaf AGT uwezi ilinganisha na BSS kumbuka ile inachukua watu wa fani tofauti tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…