Kama ilivyo mada hapo juu. Mm sio msanii na sio mpenz wa sanaa lakin ni mshabiki
Mtakubaliana na mm kuwa, tangu kuanzishwa kwa bongo starsearch waliofanikiwa,wengi mfano harmonize, walishindwa kupita kwenye ngaz mbalimbali kwenye shindano hilo.
hata na hivyo shindano lipo kaslahi kwan walio wengi haswa walioshinda shindano hilo pesa hazionekan wamefanyia nn? Ni dhahir kwamba pesa hizo ni kidogo kukizi mafanikio. Kwan wananchi tunajua million hamsin, kiwango halisi wanacho cotenstant kwenye bongo zao.