Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Huwa nacheka sana nikisikiliza story za vijana wa kibongo eti wao ni mafighter au wamehustle sana! Labda kwa kufanywa punda hapo sawa ama kuwa wabeba box[emoji23]
Sijawahi kusikia wabongo wamekamatwa kwenye container kama wasomali au wahabeshi wakiwa wameshonwa hasa bila hewa ya kutosha maji wala chakula
Sijawahi kusikia wabongo wamekamatwa kwenye container kama wasomali au wahabeshi wakiwa wameshonwa hasa bila hewa ya kutosha maji wala chakula