Bongo wamejaa nyoro nyoro

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Huwa nacheka sana nikisikiliza story za vijana wa kibongo eti wao ni mafighter au wamehustle sana! Labda kwa kufanywa punda hapo sawa ama kuwa wabeba box[emoji23]
Sijawahi kusikia wabongo wamekamatwa kwenye container kama wasomali au wahabeshi wakiwa wameshonwa hasa bila hewa ya kutosha maji wala chakula
 
Aisee vijana wa kibongo ni shida wao kwa maneno mengi awajambo
 
Bongo bla bla nyingi,,,! Walishanyeshwa Maji ya bendera
 
kila mmoja ni fighter kulingana naupeo wake wa kuwaelewa ma fighter,ila kama unawajua ma fighter kwelikweli huwezi paza sauti mbele ya wanaume kuwa wewe ni fighter
 
Kipindi nasoma primary ndoto zetu zilikuwa ni kuzamia meri maana kulikuwa na mastolo away kibao Enzi hizo.. So ni sawa na Hawa wasomali na waethiopia kipindi hiki Tabia za binadamu zinafafana tu. Sikuhizi huwezi zamia meri CCTV cameras kola kona utashikwa zamani hazikiwepo... Meri za kuzamia zilikuwa za waturuki ila wakikunasa wanakupa Kazi baadae wakawa wanawala kiboga na kuwatosa baharini kuna Wa bongo waliweza kusurvive wakaja kuhadithia story... Ukakamavu na unyoronyoro ni maamuzi tu mleta Mada hakika ni mzembe Fulani...
 
[emoji13] [emoji14] [emoji23] nimependa hapo mwisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…