Bongo Zozo anafaa kumrithi Haji Manara

Victor wa happy

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
11,660
Reaction score
11,654
Huyu mzalendo anajua kuhamasisha,anaujua na kuupenda mpira analeta hamasa ndani na nje ya uwanja hana matusi na anafurahisha

Angalia kati ya watanzania walioenda misiri kuwasapoti wachezaji wetu wanaishia kwenye mapiramidi tu kazi ya kushangilia wanamuachia bongo Zozo

Huyu akiwa afsa habari wa Simba timu itakusanya mashabiki lukuki ndani na nje ya Tanzania
Mr Bongo zozo mzalendo kabisa
 
Kapicha cha kusindikizia wengine tumjue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…