Boni Yai: Kukamatwa Dk. Slaa na kunyimwa dhamana kijanja kijanja, ni jambo la kulaaniwa na kila mpenda Haki na hasa aliye Mzalendo!

Boni Yai: Kukamatwa Dk. Slaa na kunyimwa dhamana kijanja kijanja, ni jambo la kulaaniwa na kila mpenda Haki na hasa aliye Mzalendo!

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Bila shaka andiko lake aliyekuwa mstahiki huyo linawahusu pia mwamba na chawa wake hasa waliosikika kuserebuka.

Anaandika mstahiki meya huyo wa enzi hizo:

"'judicial manoeuvre' ni kitendo cha kutumia mbinu chafu ndani ya Mahakama ili Kumkomoa, Kumtisha au kudhulumu haki ya mtu.

Michezo michafu ya hati za Kuzuia dhamana yalianza Kwa Kombo Mbwana Twaha, Yakaja Kwangu sasa tunayaona kwa Dr.Slaa.Tukatae

Kwa Lugha nyepesi ni vitendo vya Kihuni kwa kutumia muhimili wa Mahakama vinavyofanywa na vyombo vya dola pale vinapo kosa uadilifu.

Binafsi hata kama Dr.Slaa angekuwa na maoni yake binafsi kwa lugha ya namna yeyote hakupaswa kufanyiwa kitendo cha kihuni cha Kunyimwa dhamana kinyume na sheria.

Uhuni ni uleule,ataitwa Jumatatu watajifanya hawawezi kutoa uamuzi siku hiyo ,watahairisha hadi siku nyingine ili kumkomoa asote Jela.

Sisi Vijana tunaweza kuhimili vitendo vyao vya kihuni lakini inauma nikiona Mtu mzima kama Dr.Slaa ambaye hata afya yake haiko sawa anateswa kihuni kinyume na sheria.

N.B
Jana kabla ya Kikao cha Kamati Kuu nilienda Kituo cha Polisi Mbweni kumtembelea Dr.Slaa baada ya Kusikia kakamatwa,kwa bahati mbaya walinijibu ameondolewa ktk kituo chao.

Gg_UQd9aoAEP2n6.jpeg


Dr. Slaa ni mtu mwema sana,mimi na Malisa tulipokamatwa tulipelekwa mahabusu ya Mbweni kwa siku 3,na siku zote 3 Dr.Slaa alikuwa anatuletea Chai ya maziwa na Chapati kabla hata familia zetu na Makamanada wa CHADEMA hawajafika.

Vyombo vya Dola hususani Jeshi la Polisi linatumia minyukano yetu na mgawanyiko kama sehemu ya Kushughulika na baadhi yetu wakiamini hatupo pamoja.tarehe 26 December Polisi walivamia nyumbani kwangu wakaweka kambi nje ya geti wakiamini hatuna Umoja tena.

Say No to Injustice #FreeDrslaaNow."
-----------
Mwisho wa kumnukuu.
 
Mamlaka zetu sometimes sijui zinashauriwa na nani haya mambo

Hujawaona kina fazili na wale wafuasi wa ule upande mwingine wakiserebuka Slaa kukamatwa?

Nini kiwasimamishe ku share taarifa?

Yasemekana hata Kibao aliuzwa Kwa mujibu wa kina johnthebaptist.

Ataaminiwa vipi mwenye kumbagaza of all the people Lissu? Kumbe nani atakuwa spared?
 
Watanzania tumeshazoea bila ya kutoa rushwa hupewi dhamana utafanyiwa zengwe tu.
 
Bila shaka andiko lake aliyekuwa mstahiki huyo linawahusu pia mwamba na chawa wake hasa waliosikika kuserebuka.

Anaandika mstahiki meya huyo wa enzi hizo:

"'judicial manoeuvre' ni kitendo cha kutumia mbinu chafu ndani ya Mahakama ili Kumkomoa, Kumtisha au kudhulumu haki ya mtu.

Michezo michafu ya hati za Kuzuia dhamana yalianza Kwa Kombo Mbwana Twaha, Yakaja Kwangu sasa tunayaona kwa Dr.Slaa.Tukatae

Kwa Lugha nyepesi ni vitendo vya Kihuni kwa kutumia muhimili wa Mahakama vinavyofanywa na vyombo vya dola pale vinapo kosa uadilifu.

Binafsi hata kama Dr.Slaa angekuwa na maoni yake binafsi kwa lugha ya namna yeyote hakupaswa kufanyiwa kitendo cha kihuni cha Kunyimwa dhamana kinyume na sheria.

Uhuni ni uleule,ataitwa Jumatatu watajifanya hawawezi kutoa uamuzi siku hiyo ,watahairisha hadi siku nyingine ili kumkomoa asote Jela.

Sisi Vijana tunaweza kuhimili vitendo vyao vya kihuni lakini inauma nikiona Mtu mzima kama Dr.Slaa ambaye hata afya yake haiko sawa anateswa kihuni kinyume na sheria.

N.B
Jana kabla ya Kikao cha Kamati Kuu nilienda Kituo cha Polisi Mbweni kumtembelea Dr.Slaa baada ya Kusikia kakamatwa,kwa bahati mbaya walinijibu ameondolewa ktk kituo chao.

View attachment 3198550

Dr. Slaa ni mtu mwema sana,mimi na Malisa tulipokamatwa tulipelekwa mahabusu ya Mbweni kwa siku 3,na siku zote 3 Dr.Slaa alikuwa anatuletea Chai ya maziwa na Chapati kabla hata familia zetu na Makamanada wa CHADEMA hawajafika.

Vyombo vya Dola hususani Jeshi la Polisi linatumia minyukano yetu na mgawanyiko kama sehemu ya Kushughulika na baadhi yetu wakiamini hatupo pamoja.tarehe 26 December Polisi walivamia nyumbani kwangu wakaweka kambi nje ya geti wakiamini hatuna Umoja tena.

Say No to Injustice #FreeDrslaaNow."
-----------
Mwisho wa kumnukuu.
Hilo yai bonge litulie hiyo babu ajiheshimu, uhalifu hauna uzee angejua hivyo angekuwa Makini
 
Bila shaka andiko lake aliyekuwa mstahiki huyo linawahusu pia mwamba na chawa wake hasa waliosikika kuserebuka.

Anaandika mstahiki meya huyo wa enzi hizo:

"'judicial manoeuvre' ni kitendo cha kutumia mbinu chafu ndani ya Mahakama ili Kumkomoa, Kumtisha au kudhulumu haki ya mtu.

Michezo michafu ya hati za Kuzuia dhamana yalianza Kwa Kombo Mbwana Twaha, Yakaja Kwangu sasa tunayaona kwa Dr.Slaa.Tukatae

Kwa Lugha nyepesi ni vitendo vya Kihuni kwa kutumia muhimili wa Mahakama vinavyofanywa na vyombo vya dola pale vinapo kosa uadilifu.

Binafsi hata kama Dr.Slaa angekuwa na maoni yake binafsi kwa lugha ya namna yeyote hakupaswa kufanyiwa kitendo cha kihuni cha Kunyimwa dhamana kinyume na sheria.

Uhuni ni uleule,ataitwa Jumatatu watajifanya hawawezi kutoa uamuzi siku hiyo ,watahairisha hadi siku nyingine ili kumkomoa asote Jela.

Sisi Vijana tunaweza kuhimili vitendo vyao vya kihuni lakini inauma nikiona Mtu mzima kama Dr.Slaa ambaye hata afya yake haiko sawa anateswa kihuni kinyume na sheria.

N.B
Jana kabla ya Kikao cha Kamati Kuu nilienda Kituo cha Polisi Mbweni kumtembelea Dr.Slaa baada ya Kusikia kakamatwa,kwa bahati mbaya walinijibu ameondolewa ktk kituo chao.

View attachment 3198550

Dr. Slaa ni mtu mwema sana,mimi na Malisa tulipokamatwa tulipelekwa mahabusu ya Mbweni kwa siku 3,na siku zote 3 Dr.Slaa alikuwa anatuletea Chai ya maziwa na Chapati kabla hata familia zetu na Makamanada wa CHADEMA hawajafika.

Vyombo vya Dola hususani Jeshi la Polisi linatumia minyukano yetu na mgawanyiko kama sehemu ya Kushughulika na baadhi yetu wakiamini hatupo pamoja.tarehe 26 December Polisi walivamia nyumbani kwangu wakaweka kambi nje ya geti wakiamini hatuna Umoja tena.

Say No to Injustice #FreeDrslaaNow."
-----------
Mwisho wa kumnukuu.
Kwa hili kajitaidi kusema ukweli tofauti na ule uchawa wake ulioiva wa mbowe
 
Wameshajipotezea uaminifu. Watu wanawachora tu. Na hata maandiko yao watu wanaona ni unafiki tu.
Mkuu hadi usemaji wao umebadilika wanasema sawasawa na wale kijani , mpaka sauti zao kuna namna zimeanza kusikika kama za wale wakijani tunawachora tu🤔🤔
 
Mkuu hadi usemaji wao umebadilika wanasema sawasawa na wale kijani , mpaka sauti zao kuna namna zimeanza kusikika kama za wale wakijani tunawachora tu🤔🤔

Wao na kijani ni wale wale.

Tlaatlaah au tunasema uongo?
 
Hujawaona kina fazili na wale wafuasi wa ule upande mwingine wakiserebuka Slaa kukamatwa?

Nini kiwasimamishe ku share taarifa?

Yasemekana hata Kibao aliuzwa Kwa mujibu wa kina johnthebaptist.

Ataaminiwa vipi mwenye kumbagaza of all the people Lissu? Kumbe nani atakuwa spared?
Lissu, Mbowe, Samia au yoyote mwingine si miungu watu. Yoyote kati yao anaweza 'kubagazwa' kivyovyote vile, si kila unayeamini ndivyo alivyo ukadhani wote wanaamini hivyo.
All politicians are self-centered, crooks and they serve their own interests first before anything else.
Never trust a politician, hata awe nani.
 
Back
Top Bottom