Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Pwani imekombolewa RasmiKazi ya ukombozi ea Fikra na maendeleo chanya kwa woote na iendelee mbele kwa kasi sana
Hivi binadamu mwenye akili anaruhusuje unene wa huyo Yai?Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Mfungwa wa Kisiasa ambaye alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Pwani akiwa jela, Baada ya Mapumziko mafupi, Hatimaye ameanza kazi Rasmi
View attachment 3122853View attachment 3122854View attachment 3122857
We endelea kuwafatilia wakina lokoleHivi binadamu mwenye akili anaruhusuje unene wa huyo Yai?
Nyuma ya mwanaume mwenzako unafanyako nn - watu hamna aibuSafi kamanda tupo nyumba yako
AmenHongera Viongozi wetu. Msife moyo Mungu atawababriki kwa jinsi mnavyojitoa kwenye Mazingira magumu.
Mkuu lokole ndio nani?We endelea kuwafatilia wakina lokole
Ova
Huyo na Nape nani aulizweππππHivi binadamu mwenye akili anaruhusuje unene wa huyo Yai?
πππMkuu lokole ndio nani?
Serious aisee ,simjui ni nani?πππ
Nape is better off mkuuHuyo na Nape nani aulizweππππ