SI KWELI Boniface Jacob aamua kujiweka pembeni ya Siasa za CHADEMA na kuhamia kwenye ufugaji wa kuku

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Mods pigeni ban huyu mzushi amesidi mno kuleta habari za uzushi na kulishushia hadhi Jukwaa letu
 
Bon ni mjasili mali wakuigwa,sio mradi huu tu ana biashara ya nyumba za makazi na mambo mengine mengi.
 
Wewe ni ngeni hapa mjini. Mbona hizo ndio Shughuli zake toka kitambo
 
Lucas aibu yako hii unaona rangi ya hii thread yako, jitafakari.
 
Pichani Ni Boniphase Jacob Aamua Kujiweka Pembeni ya Siasa za CHADEMA na Kuhamia huku . Apongezwa na wengi Sana na kuungwa mkono.
Duh,
Niliposoma hiyo heading nikadhani Bonny Yai ashakengeuka na kujiunga na "chama cha mafisadi", kumbe ndiyo kwanza unamshawishi?!
 
Na wewe utuoneshe basi hata trei moja kama hiyo ya mfano. Au ndiyo maisha yako yote umechagua kuishi kama CHAWA tu? Yaani kuishi maisha ya kuwasifia wengine, na ikibidi hata kuwalamba kabisa miguu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…