The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Nikiona hii picha naumia 😥😥Mnaiingiza nchi kwenye laana pumbafu zenu
View attachment 3091375
Tanzania wapelelezi wapo wengi usiumize kichwa chako, wewe subiriaga majibu ya wapelelezi wako hao unao wajuaHuyu bwana kwani ni nani? Kila upoteaji na upatikanaji wa miili kabla ya police yeye ndio mtoa habari 🤔🤔🤔
View attachment 3091355
wee si unaona anafanana na SAVIMBI?Huyu bwana kwani ni nani? Kila upoteaji na upatikanaji wa miili kabla ya police yeye ndio mtoa habari 🤔🤔🤔
View attachment 3091355
Wewe ni arbotion survivor.Huyu jamaa yeye Kila siku anatia update za mtu kutekwa na mtu kukutwa kafa na Kwa muonekano wake watu lazima tuwe na wasiwasi achunguzwe aisee hatuwezi kufuga magaidi
Achunguzwe fastaaWewe ni arbotion survivor.
Fakin annoying
Achunguzwe fastaa hii sura tunamashaka nayo kwenye hivi vifoUzi tayari,au sio😀😀😀
Achunguzwe fastaaCondom ingeprevent hii post.
🤣🤣🤣🤣Condom ingeprevent hii post.
CHADEMA kuweni makini.Huyu jamaa yeye Kila siku anatoa update za mtu kutekwa na mtu kukutwa kafa na Kwa muonekano wake watu lazima tuwe na wasiwasi achunguzwe aisee hatuwezi kufuga magaidi
Mzee wako bora angepanda mnazi kwa mkono mmoja ukatupwa bafuni ufe.Achunguzwe fastaa
Hakuna CCM anayeweza kuandika hivyo. Hapa umevurunda na kuji-expose🤔CCM MWENZANGU. HII HOJA AMBAYO ALITUPA MWENYEKITI WETU ILIKUWA YA KIPUMBAVU. YULE JAMAA ANATUCHUKULIA SISI SOTE VILAZA. KUWA ETI TUMSINGIZIE BONI YAI KUWA ANAHUSIKA NA CHADEMA. WEWE UMEIBEBA KAMA ILIVYO? ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZA KWAKO DOGO.
Wewe utakua mcheza kigodoro wa kizimkaziHuyu jamaa yeye Kila siku anatoa update za mtu kutekwa na mtu kukutwa kafa na Kwa muonekano wake watu lazima tuwe na wasiwasi achunguzwe aisee hatuwezi kufuga magaidi
😅😅😅Wewe utakua mcheza kigodoro wa kizimkazi