Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Achunguzwe fastaaCHADEMA kuweni makini.
Dola imetuma watu wake mitandaoni kutengeneza mazingira ya ninyi kufunguliwa kesi
Mnafanyiwa unyama na kuuawa
Mnafunguliwa kesi dhidi yenu
Msiseme sikuwatahadharisha
Achunguzwe fastaaKwako tafsiri ya ugaidi ni sura nzito+ ndeve nyingi!
Achunguzwe fastaaCcm bhana
SijuiMuonekano wake ukoje??
Achunguzwe fastaFisi mkubwa wewe
Kama ni kweli alipata mafunzo,kwa hiyo amefanya dhambi?π€Jamaa alipata Mafunzo ya ujasusi Israel, kuna umuhimu wa kumtazama kwa ukaribu.
Scenarios zinafikirisha mno.Unataka kusemaje? Em sema hilo neno π
Kwamba angekua muhusika wa ujahil angejianika tu?Hao wanapata taarifa muhimu kutoka ndani ya vyombo vya dola/watu ambao hawapendi uoneaji na ukatili wa uuaji.Siyo wote wanapenda yanayoendelea.Weka kichwani hilo.Scenarios zinafikirisha mno.
Boniface Jacob...????Huyu bwana kwani ni nani? Kila upoteaji na upatikanaji wa miili kabla ya police yeye ndio mtoa habari π€π€π€
View attachment 3091355
Narudia, hili genge liitwalo cdm lichunguzwe kwa karibu sana.
Huyu jamaa yeye Kila siku anatoa update za mtu kutekwa na mtu kukutwa kafa na Kwa muonekano wake watu lazima tuwe na wasiwasi achunguzwe aisee hatuwezi kufuga magaidi
Jibu lako rahisi sana kuna watu wanapata taarifa na hawana ujasiri wa kuzitoa, lakini kwa siku za hivi karibuni Bon pamoja na Martine Maranja wamejitwika huo msalaba. Miaka ya nyuma tetesi zote zilikuwa zinarushwa kwa Mange. Hivo siyo ajabu hata wewe kama una kifua na huogopi kufa bila kuzikwa anza hiyo issue.Huyu bwana kwani ni nani? Kila upoteaji na upatikanaji wa miili kabla ya Polisi yeye ndio mtoa habari π€π€π€
Pia soma
- Boniface Jacob: Ni lini Polisi Iringa itatoa taarifa ya miili ya vijana wawili iliyookotwa Wilaya ya Kilolo?
Uwindwe kama digidigi halafu ukae kindezi.Anajua mpaka Namba ya mwisho kumpigia marehemu? Anyone....?!!!