It might be! But to be on the safe side you have to have suspicion!Typing error tu hiyo
Kafanyaje!!?Boleti Ngeti
Suspicious kwa angle ipi?It might be! But to be on the safe side you have to have suspicion!
Mbowe ndo aliandaa hutuba?Baada ya Lissu kushambuliwa Dodoma ilipangwa ratiba ya mazishi na hata Hotuba ya kusomwa kwenye mazishi yake ilishaandaliwa
Wachangie nini wakati alitishwa akasema yeye haumwi yuko mzima wa afya? Wauaji wakubwa nyie.Hivi CHADEMA walimchangia ngapi kwenye matibabu?
Tuwekee hiyo ratiba na Hotuba kima mmoja weweBaada ya Lissu kushambuliwa Dodoma ilipangwa ratiba ya mazishi na hata Hotuba ya kusomwa kwenye mazishi yake ilishaandaliwa
Hotuba iliandaliwa na Bunge , ikiwa imejaa sifa nyingi sana kwa "marehemu" LissuMbowe ndo aliandaa hutuba?
soma post ya Erythrocyte ujue kuwa CCM wanapanga haya mabo...... Lisu hata ratiba ya mazishi ilishapangwaTyping error tu hiyo
Kwani Thadei kafariki? Hivi ni lini CCM wataacha kutoa roho za watanzania wasiokuwa na hatia?Boniface jacob anasema:
CCM wametoa salamu za rambirambi kwa Thadei Ole Mushi siku moja kabla kifo chake.
Kwamba Thadei Ole Mushi kafariki tarehe 04 February 2024 lakini CCM salamu za rambirambi zinaonekana kutolewa tarehe 03 February 2024.
Muda huu kila jambo linapaswa kutiliwa mashaka, Je ni bahati mbaya.? au waliandaa mapema salamu zao za rambirambi wakijua atakufa hivi karibuni..?
Ni kukaa kwa machale.
View attachment 2894981
Kwani Thadei kafariki? Hivi ni lini CCM wataacha kutoa roho za watanzania wasiokuwa na hatia?
Ndongai ndiye aliandaa kwa maelekezo ya yule mhutu aliyeko motoni sasa hivi
Unaweza ileta hapa ratiba ya mazishi hayo unayoyasema?soma post ya Erythrocyte ujue kuwa CCM wanapanga haya mabo...... Lisu hata ratiba ya mazishi ilishapangwa
CCM walishajiandaa kitambo snBoniface jacob anasema:
CCM wametoa salamu za rambirambi kwa Thadei Ole Mushi siku moja kabla kifo chake.
Kwamba Thadei Ole Mushi kafariki tarehe 04 February 2024 lakini CCM salamu za rambirambi zinaonekana kutolewa tarehe 03 February 2024.
Muda huu kila jambo linapaswa kutiliwa mashaka, Je ni bahati mbaya.? au waliandaa mapema salamu zao za rambirambi wakijua atakufa hivi karibuni..?
Ni kukaa kwa machale.
View attachment 2894981