Ila wakati Magu amekata moto walisema yupo ofisini anachapa kazi... Tz ipo upsidedown.Baada ya Lissu kushambuliwa Dodoma ilipangwa ratiba ya mazishi na hata Hotuba ya kusomwa kwenye mazishi yake ilishaandaliwa
AlaaahBaada ya Lissu kushambuliwa Dodoma ilipangwa ratiba ya mazishi na hata Hotuba ya kusomwa kwenye mazishi yake ilishaandaliwa
Soma iyo heading apo juu utajua nazungumzia chadema ipiCHADEMA ipi? Punguza unafiki. Yani Jambo lolote likiulizwa na raia umekimbilia agenda ya CHADEMA. Yani Raia wasiulize kitu kisa wataambiwa ni CHADEMA.
Omba copy kwa mratibu BashiteUnaweza ileta hapa ratiba ya mazishi hayo unayoyasema?
Jibu hoja ya mezanHivi CHADEMA walimchangia ngapi kwenye matibabu?
Kwamba alikuwa mwanasiasa shupavu😂😂Hotuba iliandaliwa na Bunge , ikiwa imejaa sifa nyingi sana kwa "marehemu" Lissu
Ni afadhal mara 100 ujinga wa ccm unawanufaisha na kuwatajirisha kuliko ujinga wa mlalahoi ambae mlo wake wa siku tu ni wamashaka mashakaWajinga namba moja ni CCM
Kuna mdau mwingine anaitumia nimeona tutawachanganya watu. Na hii ya sasa unaionaje?Chifu Ile avatar mboni umeitoa?
Mlikataa mkamfichaHivi CHADEMA walimchangia ngapi kwenye matibabu?
Yaani sifa kedekedeKwamba alikuwa mwanasiasa shupavu😂😂
😂😂😂 Hio noma mkuuKuna mdau mwingine anaitumia nimeona tutawachanganya watu. Na hii ya sasa unaionaje?
umemaliza kazi, jibu hilo linamtosha sanaAkisaidiana na mama ako
Na ilikuwa maziko ni ya haraka na kaburi kuwekwa zege mara tatu Ili watu wasihoji sana matokeo yake msimamizi na shetani mkuu wa ule upuuzi akafa mapema na hotuba ya. Mazishi ya Lissu ikaeditiwaBaada ya Lissu kushambuliwa Dodoma ilipangwa ratiba ya mazishi na hata Hotuba ya kusomwa kwenye mazishi yake ilishaandaliwa
Unaonesha hata ukiambiwa kaburi lilitakiwa lichimbwe wapi utakataa kwa ubishi uuoneshao.Unaweza ileta hapa ratiba ya mazishi hayo unayoyasema?
Umeonesha ulivyofikia viwango vya juu vya uzuzu.Ni afadhal mara 100 ujinga wa ccm unawanufaisha na kuwatajirisha kuliko ujinga wa mlalahoi ambae mlo wake wa siku tu ni wamashaka mashaka
We mbwa unaweza kuamini kuwa ile barua ya kujiuzuru aliiandika chongolo... any way pengine ni mgeni na hii nchi hatuwezi juaWachangie nini wakati alitishwa akasema yeye haumwi yuko mzima wa afya? Wauaji wakubwa nyie.
Ikaja kusomwa badae kwa Muandaaji. Mungu hataniwi.Baada ya Lissu kushambuliwa Dodoma ilipangwa ratiba ya mazishi na hata Hotuba ya kusomwa kwenye mazishi yake ilishaandaliwa
Kamuulize mamako. Mbwa baba yako shoga mbovu weweWe mbwa unaweza kuamini kuwa ile barua ya kujiuzuru aliiandika chongolo... any way pengine ni mgeni na hii nchi hatuwezi jua
DuhBaada ya Lissu kushambuliwa Dodoma ilipangwa ratiba ya mazishi na hata Hotuba ya kusomwa kwenye mazishi yake ilishaandaliwa
Ndani ya hichi chama unaweza kuzikwa kabla hujafaBoniface jacob anasema:
CCM wametoa salamu za rambirambi kwa Thadei Ole Mushi siku moja kabla kifo chake.
Kwamba Thadei Ole Mushi kafariki tarehe 04 February 2024 lakini CCM salamu za rambirambi zinaonekana kutolewa tarehe 03 February 2024.
Muda huu kila jambo linapaswa kutiliwa mashaka, Je ni bahati mbaya.? au waliandaa mapema salamu zao za rambirambi wakijua atakufa hivi karibuni..?
Ni kukaa kwa machale.
View attachment 2894981