Boniface Mwabukusi atoa onyo hili kwa upinzani "Umma utatafuta tumaini kwingine, watanzania sio wajinga"

Boniface Mwabukusi atoa onyo hili kwa upinzani "Umma utatafuta tumaini kwingine, watanzania sio wajinga"

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Siku ya leo, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) Boniface Mwabukusi ameweka chapisho hili katika mtandao wa X kama sehemu ya kuadhimisha miaka 63 ya uhuru wa Tanzania Bara

"Chama cha siasa cha upinzani kisichoyatambua majira na nyakati, na kuendelea kufanya mambo na maamuzi yake kwa kiburi na ujivuni kitapoteza uungwaji mkono kwa umma na umma utatafuta tumaini mahala pengine. Watanzania sio wajinga. Heri ya siku ya uhuru wa Tanganyika, udumu muungano wetu! Serikali tatu itafaa zaidi.”


BM.png
 
Huyo jamaa ameanza ujuaji usio na maana..

TLS ni chama kama ilivyo MAT, na vingine kama vya manesi nk

Naona sasa anajigeuza Jaji Mutungi wa kufanya ushauri kwa vyama vya siasa.

Waliomoandisha watamshusha. Hawajui CDM vizuri bado.
 
Huyo jamaa ameanza ujuaji usio na maana..

TLS ni chama kama ilivyo MAT, na vingine kama vya manesi nk

Naona sasa anajigeuza Jaji Mutungi wa kufanya ushauri kwa vyama vya siasa...

Waliomoandisha watamshusha... Hawajui CDM vizuri bado.
Ametoa onyo, hajaimaanishi haruhusiwi or anajiona jaji kutungi. Si yeye tu wako wengi ambao wametoa maonyo sana
 
Ametoa onyo, hajaimaanishi haruhusiwi or anajiona jaji kutungi. Si yeye tu wako wengi ambao wametoa maonyo sana
Onyo kama nani na huyo mbweka ovyo..

Atulie ale hela za Misaada ya Kisheria...
 
Wakuu,

Siku ya leo, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) Boniface Mwabukusi ameweka chapisho hili katika mtandao wa X kama sehemu ya kuadhimisha miaka 63 ya uhuru wa Tanzania Bara

"Chama cha siasa cha upinzani kisichoyatambua majira na nyakati, na kuendelea kufanya mambo na maamuzi yake kwa kiburi na ujivuni kitapoteza uungwaji mkono kwa umma na umma utatafuta tumaini mahala pengine. Watanzania sio wajinga. Heri ya siku ya uhuru wa Tanganyika, udumu muungano wetu! Serikali tatu itafaa zaidi.”


Kuna shida gani na kauli yake?
 
Wakuu,

Siku ya leo, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) Boniface Mwabukusi ameweka chapisho hili katika mtandao wa X kama sehemu ya kuadhimisha miaka 63 ya uhuru wa Tanzania Bara

"Chama cha siasa cha upinzani kisichoyatambua majira na nyakati, na kuendelea kufanya mambo na maamuzi yake kwa kiburi na ujivuni kitapoteza uungwaji mkono kwa umma na umma utatafuta tumaini mahala pengine. Watanzania sio wajinga. Heri ya siku ya uhuru wa Tanganyika, udumu muungano wetu! Serikali tatu itafaa zaidi.”


Kwanini hicho chama chako usigeuze nembo tu tuchukue kadi!
 
Kuna muongozo kuwa onyo linatulowa na watu gani?
Mtu yoyote anaweza toa, hamaanishi ana maana mbaya but kama alert kwa muhusika
No he is always all over the places, awe na staha, siku zote kabla hajawa TLS alikuwa wapi?

Si ni mwanachama wa NCCR? Nini kilibadilika leo anaishauri CDM baada ya kushikiana kuiharibu NCCR na maneno ya ujuaji kama hayo...

CDM ikifa itakuwa hauweni ya wote wanaotaka ife.. akiweko yeye...
 
Huyo jamaa ameanza ujuaji usio na maana..

TLS ni chama kama ilivyo MAT, na vingine kama vya manesi nk

Naona sasa anajigeuza Jaji Mutungi wa kufanya ushauri kwa vyama vya siasa...

Waliomoandisha watamshusha... Hawajui CDM vizuri bado.
Pumba
 
Zanzibar ni nchi ingine sasa hata kwenye biashara kizaidi, watu wanaenda Rwanda etc


Ila ya wabunge imeshtusha...
 
Huyo jamaa ameanza ujuaji usio na maana..

TLS ni chama kama ilivyo MAT, na vingine kama vya manesi nk

Naona sasa anajigeuza Jaji Mutungi wa kufanya ushauri kwa vyama vya siasa...

Waliomoandisha watamshusha... Hawajui CDM vizuri bado.
kuna member aliandika naye ni system tu kama alivyo hoseah japo anaonekana ni mpinzani
 
Huyo jamaa ameanza ujuaji usio na maana..

TLS ni chama kama ilivyo MAT, na vingine kama vya manesi nk

Naona sasa anajigeuza Jaji Mutungi wa kufanya ushauri kwa vyama vya siasa...

Waliomoandisha watamshusha... Hawajui CDM vizuri bado.
Kwani alichokiandika kina shida Gani? Next time usitumie tena uti wa mgongo kufikiri.
 
Na yeye angejua akasoma alama za nyakati maana ungefanyika uchaguzi TLS Leo, sidhani kama atarudi.
 
Wakuu, Siku ya leo, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) Boniface Mwabukusi ameweka chapisho hili katika mtandao wa X kama sehemu ya kuadhimisha miaka 63 ya uhuru wa Tanzania Bara

"Chama cha siasa cha upinzani kisichoyatambua majira na nyakati, na kuendelea kufanya mambo na maamuzi yake kwa kiburi na ujivuni kitapoteza uungwaji mkono kwa umma na umma utatafuta tumaini mahala pengine. Watanzania sio wajinga. Heri ya siku ya uhuru wa Tanganyika, udumu muungano wetu! Serikali tatu itafaa zaidi.”

1733820768697.png
 
Wakuu,

Siku ya leo, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) Boniface Mwabukusi ameweka chapisho hili katika mtandao wa X kama sehemu ya kuadhimisha miaka 63 ya uhuru wa Tanzania Bara

"Chama cha siasa cha upinzani kisichoyatambua majira na nyakati, na kuendelea kufanya mambo na maamuzi yake kwa kiburi na ujivuni kitapoteza uungwaji mkono kwa umma na umma utatafuta tumaini mahala pengine. Watanzania sio wajinga. Heri ya siku ya uhuru wa Tanganyika, udumu muungano wetu! Serikali tatu itafaa zaidi.”


Mimi nilishaweka msimamo kuwa mabadiliko tutayafanya ndani ya CCM.
Huwezi kuwakabidhi nchi wenye njaa kali kama akina Mbowe.
 
Wakuu,

Siku ya leo, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) Boniface Mwabukusi ameweka chapisho hili katika mtandao wa X kama sehemu ya kuadhimisha miaka 63 ya uhuru wa Tanzania Bara

"Chama cha siasa cha upinzani kisichoyatambua majira na nyakati, na kuendelea kufanya mambo na maamuzi yake kwa kiburi na ujivuni kitapoteza uungwaji mkono kwa umma na umma utatafuta tumaini mahala pengine. Watanzania sio wajinga. Heri ya siku ya uhuru wa Tanganyika, udumu muungano wetu! Serikali tatu itafaa zaidi.”


Boniface Mwabukusi Kuna hata kesi Moja ,uliyo wahi kushinda mahakamani?
Je kama hakuna siasa utaiweza?
 
Kwani alichokiandika kina shida Gani? Next time usitumie tena uti wa mgongo kufikiri.
Embu twende taratibu...

Bora hata natumia CNS kufikiri,

Hoja yake umeelewa wewe unaetumia Ubongo kufikiri mkuu?

Kama umeelewa hoja yake urudi hapa tujadili..
 
Back
Top Bottom