Pre GE2025 Boniface Mwabukusi: Tuna Vyama vya upinzani havijajiandaa kuwa mbadala wa CCM. Vipo kugaiwa neema ndogo ndogo kutoka CCM

Pre GE2025 Boniface Mwabukusi: Tuna Vyama vya upinzani havijajiandaa kuwa mbadala wa CCM. Vipo kugaiwa neema ndogo ndogo kutoka CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Nikiri kuna changamoto kwenye vyama vya siasa, mimi sipendi kuumauma maneno kwa sababu mimi kweli ni wakili, lakini mimi ni mwanasiasa ninavijua hivi vyama, vina changamoto kubwa, vinaumiza na kukatisha tamaa wananchi.

Ni vyama ambavyo kwa kweli havionekani kujiandaa hasa kuwa mbadala wa CCM, yaani hatuchukii nafasi tuliyonayo ya kuwa wabobevu kwenye upinzani lakini tunaonekana tunajiandaa kuwa wapinzani wa kudumu na kugaiwa neema ndogondogo kutoka CCM.

Kwa hiyo kimsingi ni kama vyama vingi vimekaa mkao wa kujiandaa kuwa mashabiki wa kuishangilia CCM inapoingia na kutoka, na kuingia na kutoka lakini wao ni kugawiwa tu mapato yatokanayo na mechi ambayo mechi hiyo ni uchaguzi, kwa hiyo mimi ninafikiri tunahitaji mtazamo mpya katika vyama hivi.
 
Yani hizi lawama wanazopewaga cdm huwa hata sizielewi . Watu daily wanateseka kqa kujitoa kwao then wachache wanawabeza napendekeza hao wenye ujyvi zaidi na moyo huo wajiunge cdm au waanzishe vyama vyao tuone movements zao zitakavyoganikiwa
 
Yani hizi lawama wanazopewaga cdm huwa hata sizielewi . Watu daily wanateseka kqa kujitoa kwao then wachache wanawabeza napendekeza hao wenye ujyvi zaidi na moyo huo wajiunge cdm au waanzishe vyama vyao tuone movements zao zitakavyoganikiwa
kapigilia msumari kwenye kidonda
 
Yani hizi lawama wanazopewaga cdm huwa hata sizielewi . Watu daily wanateseka kqa kujitoa kwao then wachache wanawabeza napendekeza hao wenye ujyvi zaidi na moyo huo wajiunge cdm au waanzishe vyama vyao tuone movements zao zitakavyoganikiwa
Kwani ametaja chama chochote cha upinzani hapo?
 
Yani hizi lawama wanazopewaga cdm huwa hata sizielewi . Watu daily wanateseka kqa kujitoa kwao then wachache wanawabeza napendekeza hao wenye ujyvi zaidi na moyo huo wajiunge cdm au waanzishe vyama vyao tuone movements zao zitakavyoganikiwa
Hajataja chama, but yes how prepared are they?
 
1725283786479.png
 
upinzani,ubabaishaji with poor combination.kila mara matamko mara maazimio mara maandamano with no any +ve impact.
 
Yani hizi lawama wanazopewaga cdm huwa hata sizielewi . Watu daily wanateseka kqa kujitoa kwao then wachache wanawabeza napendekeza hao wenye ujyvi zaidi na moyo huo wajiunge cdm au waanzishe vyama vyao tuone movements zao zitakavyoganikiwa
Amesema ukweli 100% kila mara CCM wanawapa wapinzani nusu mkate na wao wanapoa,,rejea maridhiano uchwara.
 
Shida kubwa ni kwamba wapinzani wanahangaika na cham DOLA ni ngumu tusiwalaumu. Fanyeni uchambuzi wa kina.
 
Vyama vya Upinzani viko vingi kuna baadhi hii Spana inawahusu mfano NCCR Mageuzi.
 
Nikiri kuna changamoto kwenye vyama vya siasa, mimi sipendi kuumauma maneno kwa sababu mimi kweli ni wakili, lakini mimi ni mwanasiasa ninavijua hivi vyama, vina changamoto kubwa, vinaumiza na kukatisha tamaa wananchi.

Ni vyama ambavyo kwa kweli havionekani kujiandaa hasa kuwa mbadala wa CCM, yaani hatuchukii nafasi tuliyonayo ya kuwa wabobevu kwenye upinzani lakini tunaonekana tunajiandaa kuwa wapinzani wa kudumu na kugaiwa neema ndogondogo kutoka CCM.

Kwa hiyo kimsingi ni kama vyama vingi vimekaa mkao wa kujiandaa kuwa mashabiki wa kuishangilia CCM inapoingia na kutoka, na kuingia na kutoka lakini wao ni kugawiwa tu mapato yatokanayo na mechi ambayo mechi hiyo ni uchaguzi, kwa hiyo mimi ninafikiri tunahitaji mtazamo mpya katika vyama hivi.
Bado haujasema ndaga fijo na malori!
 
Back
Top Bottom