Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Za weekend Wakuu,
Kuna hii kampuni mpya ya kubet inaitwa Bonus bet. Nliona wamekuja vizur na offer zao za ku deposit plus odds unaweza kujiongezea kidogo.
Ila Sasa tabu yao Ukitaka ku deposit stake Maximum ni TZS 10,000,000/-
Lakini ikitokea stake hiyo ukala labda odds 2 ukitaka ku withdrawal Kwa siku moja isizidi 600,000.
Maana yake ni kua ukiweka hiyo 10mil ukafanikiwa labda ku win hizo odds 2 utalazimika kutumia siku 17 kuitoa yote .
Haijakaa poa hii, wabadilishe.
Kuna hii kampuni mpya ya kubet inaitwa Bonus bet. Nliona wamekuja vizur na offer zao za ku deposit plus odds unaweza kujiongezea kidogo.
Ila Sasa tabu yao Ukitaka ku deposit stake Maximum ni TZS 10,000,000/-
Lakini ikitokea stake hiyo ukala labda odds 2 ukitaka ku withdrawal Kwa siku moja isizidi 600,000.
Maana yake ni kua ukiweka hiyo 10mil ukafanikiwa labda ku win hizo odds 2 utalazimika kutumia siku 17 kuitoa yote .
Haijakaa poa hii, wabadilishe.