mkuu una softcopy ya hiki kitabu!?.. Nakumbuka last time nilikisoma Library Dodoma (if ndicho chenyewe cause of title) n' i have been searching it for soo long!!...
Kitabu kimemchora Mungu alivyo hicho kupitia maandiko ya dini mbalimbali yani unavyokisoma unakuwa kama unamuona alivyo aseh!.. kikaja kikachora Yesu maisha yake toka miaka 5 mpaka 30 ile ambayo kwenye bible haipo. Its thrill kukisoma aseh as long for fun sio kama kuamini kutakapo haribu imani yako!.Hahaaaa sijakisoma hiki yaani..
Leo ndo nasikia hii habario aisee muombe mwl.rct atuwekee.m
We jamaa tatizo lako unadanganya watu kuwa umeishia Form Four ila ni msomi. Kiufupi nakukubali kwa michango yako hapa JF, mimi huwa sianzishi mada ili nifiche ujinga wangu, natamani kuanza ku post nyuzi.Hahaaaa sijakisoma hiki yaani..
Leo ndo nasikia hii habario aisee muombe mwl.rct atuwekee.m
Ooooooh Ahsante mate ngoja nikipakue ratiba zikikaa poa nitakisoma
Pamoja mkuu, ila nimeku observe kwa mda naona kama huwa unaficha mambo fulaniMkuu mimi nawe tumetofautiana kidogo tu mm napenda yale ninayoyajua niyatoe kwa wengine ndio furaha yangu coz sikujaliwa kipaji cha kuongea..
Kuhusu mimi kama upo interested pm me..
Napenda kusoma vitabu vya hivi sana coz vyanipa changamoto ya kufikiria zaidi. Ila kama hauna imani thabiti hua si vizurii kabisa.Kitabu kimemchora Mungu alivyo hicho kupitia maandiko ya dini mbalimbali yani unavyokisoma unakuwa kama unamuona alivyo aseh!.. kikaja kikachora Yesu maisha yake toka miaka 5 mpaka 30 ile ambayo kwenye bible haipo. Its thrill kukisoma aseh as long for fun sio kama kuamini kutakapo haribu imani yako!.
Waweza ukawa sahihi piaPamoja mkuu, ila nimeku observe kwa mda naona kama huwa unaficha mambo fulani
Sent using Jamii Forums mobile app
pamoja mzee.Ooooooh Ahsante mate ngoja nikipakue ratiba zikikaa poa nitakisoma
Yeah mwingine akikukuta unakisoma anaona kama unakufuru hivi!..Napenda kusoma vitabu vya hivi sana coz vyanipa changamoto ya kufikiria zaidi. Ila kama hauna imani thabiti hua si vizurii kabisa.
Nilikuwa sijakisoma hiki ila ngoja nizame nacho niokote madini.
Hua nawaambia kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe!..Hua nakereka sana mtu akihoji kitu anakimbilia kusema nakufuru ndio mawazo ya Watu waliofungwa akili.
Dec 2016 nilihudhuria semina furani jimboni kwetu nikawa nahoji kuhusu rangi ya Yesu,mashimo ya ubatizo wa kipagani huko,Kuhusu yesu sita waliozaliwa na bikra p na wote wakafa na miaka 30, nikaongezea na kuhusu vitabu vilivyoondolewa kwenye mraguso wa nicea. Niliambiwa natakiwa maombi na kutubu nimeanza kuchizika
Hahaaaa sijakisoma hiki yaani..
Leo ndo nasikia hii habario aisee muombe mwl.rct atuwekee.m
Habari ndugu Wick , Da'Vinci , zitto juniorKitabu kimemchora Mungu alivyo hicho kupitia maandiko ya dini mbalimbali yani unavyokisoma unakuwa kama unamuona alivyo aseh!.. kikaja kikachora Yesu maisha yake toka miaka 5 mpaka 30