Books n stationery

Jeyz62

New Member
Joined
Jun 24, 2011
Posts
2
Reaction score
0
Baada ya kuona usaidizi na ushauri wanaopata wenzangu ,nikaonelea ni vyema nami nipate ushauri kwa manufaa yangu. Nafikiria kufungua biashara ya books n stationery mjini songea, mwanipa ushauri gani kuhusu biashara hii au ni biashara gani yenye faida na bora kuliko nilio ifikilia. Naomba usaidizi wenu washukran.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…