unaona unavojibu kama upo fb
Lishatoka matumizi 2
1/kuoa
2/kuonga
3/gambe kama 2livyo
4/shoping mr price
5/bata batan hebu mtoa uzi endelea number 6
Sheitwan mharibu mali za umma.
6/kudisco
hongera we unajibu kama twitter.
hongera we unajibu kama twitter.
kumjibu mjinga yahitaji hekima ya hali ya juu mnooo....
Lililo na mwanzo halikosi mwisho
daaah umebakiza kuokota makopo
dah kama vip robo ya boom onga kwa wakuu wa department ili uende kiboc 2
Acheni kuongea kama mko fb nyie
hahaha
naona unapoteza mda kubishana na vitoto waache waende then warud kitaa waone maisha wanazani wakitoka kula bum n moja kwa moja kwny ajira