Boom, boom, boom!

Jitihada

Senior Member
Joined
Feb 6, 2011
Posts
155
Reaction score
10
Salaam GT! Kwa wanavyuo hususan Udsm mlioripot leo vyuoni nipeni updates za boom pande za huko zinaendaje?
 
Hakuna boom.Mgaya katoa tangazo tuwe patient na tuvute subira!
 
Mapaka lini? Mbona tangia usimamizi wa boom uwe mavyuoni tabu nazo zimezidi kuongezeka? Watu 2lidhan ni hauweni boom kuhifadhiwa ktk adminstration block bt kumbe hakuna uhafadhali,, Vp kadai tuvute subira hadi lini huyo mgaya?
 
Ubunge upi tena huo? Na nini 7bu za kutogombea?
 
Mgaya kasema hataki mazoea na kiumbe yeyote.
 
Hajasema boom litaingia lini exactly but mchakato unaendelea.
 
Mgaya kasema hataki mazoea na kiumbe yeyote.

oyoo watu 2po silias na maisha hatupo humu kuuza sura, unapopost mambo jaribu uwe na facts, kwan nani anataka mazoea na kiumbe huyo?
 
Hajasema boom litaingia lini exactly but mchakato unaendelea.

poa nimekusoma mkweli, ila ajue hizi subira zina mwisho wake! Na kuna tetec kuwa wamechukua pesa za boom kwenda kuwalipa madaktari ili kupoza mgomo wao sasa kama wanataka hapo chuo pachimbike....., itafahamika!
 
Nitauwa mtu, ohhhoooo. Ngoja nirudi ijumaaa. :frusty:
 
wasitoe timetable bla kuingiza pesa ya food &accomodation.hakuna maisha dar bila hela.
 
wasitoe timetable bla kuingiza pesa ya food &accomodation.hakuna maisha dar bila hela.

hawa watu ni matapeli sana nimesikia zero draft zishaanza kutolewa wakat suala la boom halisomeki, kwa style hii maandamano hayataisha vyuoni.
 
mkuu boom halieleweki na cafteria msosi umepanda yani najuta kuripoti mapema...
 
Na WANAHARAKATI mliwatenga wakiwa wanadai maslai muhimu ngoja muone mapacha watatu watakavyo wabuluza mwaka huu
 
Andamaneni wakuu, sisi maboya wa SAUT ndo kwanza tumeuchuna licha ya wiki 3 kupita tangu tumefungua chuo bila boom wala harufu yake. Nyie ndo mko jirani na Ikulu, andamaneni, sisi tulio wachache huku tutawasapoti!
 
Seriously, bei za misosi cafe zimepanda maradufu! RB=800,etc...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…