Boom! Boom., mbona muhimbili kimya

Boom! Boom., mbona muhimbili kimya

Mupirocin

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2011
Posts
1,739
Reaction score
748
Nawapongeza sana udsm kwa kuwa source ya mabadiliko, ila nashangaa kwanini vyuo vingie vipo kimya? Muhi2, kcmc, bugando, saut, tumaini inamaana ninyi hela inatosha? Au rice cooker zinawadanganya. Amkeni serikali ipo shaked mkishirikiana hata zile % za bodi ya mikopo zitafutwa. Muhi2 acheni woga piganien haki.
 
UDSM ni mfano, fuateni mfano huo.....BOOM lenu halitapanda kwa maafikiano,ila SHINIKIZO........
 
kuna uwezekano hivyo vyuo wanapata pesa zaidi ya wenzao, haiinii akilini kwa wenzao kugoma na kusema pesa hazitoshi wakti wenyewe wakiwa kimya tu, you never know they might have somthing more than others
:first:
 
Jamani wanaJF kama cc huku SAUT tunaguswa sana na hilo jambo sema administration wanadai mkataba na bodi ni mwanafunzi na HESLB so tunashindwa kujoin na wenzetu kwa kukosa support kwa wahadhiri wetu.... We unaweza kugoma huku lecture znaendelea....
 
Watafwata 2. Kwani hujasikia yaliyompata Kawambwa Mkwawa? Akiwahutubia wanafunzi wa Mkwawa aliwaprovoke alipowambia nyie si kama UDSM wanaogoma hovyo. Kumbe katumbua jipu lililoiva, wanachuo wamecharuka na wanamtaka aombe msamaha coz maneno yake yanatafsiri kwamba wao (Mkwawa University College of Education) hawana dhiki ndo maana hawagomi. Vurugu tupu
 
Kwa kweli mimi sina mchango navyo jua maisha ya ud ni yatabu sana hasa sisi watoto wa mkulima kuna kipindi tulikuwa tuna piga deshi kabisa kipindi tuna kula mkate ndio tuna lalia
 
Yaani hii mada inanikuta sana kwani ndio ina changia hata vijana kuto kusoma kwa raha pale chuo maana yupo darasani anajiuliza akitoka atakula nini
 
Wengi wa wanafunzi wa muhimbili ni watoto wa 'vigogo' hawaishiwi saana.
Unategemea mtoto wa kikwete,lowassa,mahiza,msola,magembe,komba,maboko na maprofesa mbalimbali wanaweza kushiriki kwenye migomo ya kuganga njaa?
 
Wengi wa wanafunzi wa muhimbili ni watoto wa 'vigogo' hawaishiwi saana.
Unategemea mtoto wa kikwete,lowassa,mahiza,msola,magembe,komba,maboko na maprofesa mbalimbali wanaweza kushiriki kwenye migomo ya kuganga njaa?
hii ni crap

ina maana hao vigogo uliowataja hapo wamezaa watoto ishirini kila mmoja??

tuwe tunafikiria kabla ya kusema bana
 
hii ni crap

ina maana hao vigogo uliowataja hapo wamezaa watoto ishirini kila mmoja??

tuwe tunafikiria kabla ya kusema bana
hii yako ndio crap zaidi.
mkuu kwa asilimia kubwa wanaosoma muhimbili ni watoto wa class hiyo hapo juu(watoto wa viongozi na maprof).
 
Back
Top Bottom